KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,159
- 5,070
Asante Laban. Ila attachment zote hizo "manche ga nyancha" zimepigwa panga....acha ubish mzeeView attachment 1869117View attachment 1869116
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante Laban. Ila attachment zote hizo "manche ga nyancha" zimepigwa panga....acha ubish mzeeView attachment 1869117View attachment 1869116
Wanawake tumeamua asee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na hamna kitu watafanya[emoji2][emoji2]
Tukianza kulipiza msianze kelele zenu za haki za wanawakeWanaume kwa sasa wanapitia kipindi kigumu sana.
Mungu fundi aisee alitaka kuchoma halafu asepe...boya kweli huyu...haya sasa kesi inamsubiriMkazi wa Mbezi Beach aliyejulikana kwa jina moja la Tina anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuchoma nyumba ya aliyekuwa mpenzi wake
Kelvin ametajwa kuwa aliachana na Tina na kuwa na mwanamke mwingine na kuendelea kuishi naye Mbezi Beach Bondeni
Tina amedaiwa kuingia kwenye nyumba ya Kelvin kwa kuruka ukuta alivyoma alishindwa kutoka hivyo akaomba msaada kwa kupiga kelele
[emoji44][emoji44] ndo mlivyo kubaliana!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila baharia mwenzetu amekosea sana maana makubaliano yetu ilikuwa kuwachoma wakiwa ndani ya nyumba tena usiku wa manane ili kupisha harakati zingine za kutoroka na kupoteza ushahidi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na hamna kitu watafanya[emoji2][emoji2]
Akachome na gereza sasaUkiachwa achika,mapenzi ni hisia hayalazimishwi,
Sasa amepata faida gani? Kama hana hela ya kulipa ndio anaenda kuozea jela sasa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]..Wanawake tumeamua kipindi hiki
Ukiachwa achika,mapenzi ni hisia hayalazimishwi,
Sasa amepata faida gani? Kama hana hela ya kulipa ndio anaenda kuozea jela sasa.
Ni mwendo wa kupeleka moto tu 😂 🔥Wanawake tumeamua kipindi hiki
Hakuna kuoneana huruma ☠️Ni mwendo wa kupeleka moto tu 😂 🔥