Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
๐๐๐๐๐Wanawake mwaka wenu huu
Ndo mana tunashangaa mbona petroli imepanda bei kumbe wanawake mkiongozwa na yule anayesafiri kila muda mna jambo lenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐Wanawake mwaka wenu huu
Ndo mana tunashangaa mbona petroli imepanda bei kumbe wanawake mkiongozwa na yule anayesafiri kila muda mna jambo lenu.
kwenye hii dunia hakuna ujinga mkubwa zaidi ya ujinga wa ukabila,udini,ukanda na urangi.Na yeye Mchaga..?
Wewe waache tu..Na walivyo wachache
Kwahiyo tufanyeje?Wewe waache tu..
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Na vile wagumu kubadilika sasa[emoji2][emoji2]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ni mwendo wa moto tu[emoji2][emoji2]
Ishini nasi kwa akili.. Maandiko hayakukosea..Kwahiyo tufanyeje?
[emoji41]
Ni mwendo wa kuviziana tu..Hahaha mwaka wao huu
Hata sisi mnatakiwa pia muishi nasi kwa akili.Ishini nasi kwa akili.. Maandiko hayakukosea..
Ni mwendo wa kuviziana tu..
Kwani Petrol bei gani?[emoji3][emoji3]Waiiiii..
Hata sisi mnatakiwa pia muishi nasi kwa akili.
MBEZI HAKUNA WAKURYA - ATAKUWA MCHAGA TU.Mwanamke wa kikurya amechoma nyumba ya aliyekuwa mwanaume wake mkazi wa mbezi Beach kwa komba kwa sababu ya wivu wa kimapenzi.
Tukio hili lilitekelezwa wakati mwanaume huyo alipokuwa ameenda kazini. Wananchi alofanikiwa kumkamata mtuhumiwa na hivi ninavyoandika mtuhumiwa huyu amefikishwa polisi.
Jamani mkiachwa achikeni, mkitemwa kubalini kutemeka.
-----
Msichana aliyejulikana kwa jina la Tina mkazi wa eneo la Mbezi Beach, Jijini Dar es Salaam amekamatwa na polisi kwa tuhuma za kuchoma nyumba ya anayedaiwa kuwa alikuwa mpenzi wake aitwaye kwa jina moja la Kelvin mkazi wa Mbezi Bondeni.