Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Umechelewa dear ex kwa sasa ni kulipa kisasiππNitaendelea kukupea usiwaze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umechelewa dear ex kwa sasa ni kulipa kisasiππNitaendelea kukupea usiwaze
Na nitahamaUmechelewa dear ex kwa sasa ni kulipa kisasiππ
Huyo siyo wewe na mjomba wako?Mwanamke wa kikurya amechoma nyumba ya aliyekuwa mwanaume wake mkazi wa mbezi Beach kwa komba kwa sababu ya wivu wa kimapenzi.
Tukio hili lilitekelezwa wakati mwanaume huyo alipokuwa ameenda kazini. Wananchi alofanikiwa kumkamata mtuhumiwa na hivi ninavyoandika mtuhumiwa huyu amefikishwa polisi.
Jamani mkiachwa achikeni, mkitemwa kubalini kutemeka.
-----
Msichana aliyejulikana kwa jina la Tina mkazi wa eneo la Mbezi Beach, Jijini Dar es Salaam amekamatwa na polisi kwa tuhuma za kuchoma nyumba ya anayedaiwa kuwa alikuwa mpenzi wake aitwaye kwa jina moja la Kelvin mkazi wa Mbezi Bondeni.
We nae... me habari za kuchomana myoto sizizimii sana, me adhabu ntayompa ni kumpa mechi ya hasira na ya kupania yenye maandalizi kama ya fungate kiasi kwamba anabaki njia panda hajielewi.....yeye mwenyewe kila akitaka kunisahau ananipigia tu...Huyo siyo wewe na mjomba wako?
Naona nyie mnapeleka moto wa kweli kweli, tofauti na ule wa kina Young LunyaπNi mwendo wa kupeleka moto tu π π₯
Kulikuwa na haja gani ya kuandika kabila la huyo mwanamke?
Alafu bila picha huu ni umbea tu!
SAWHello, Brenda. I want to play a game. An officer will try to save you. If he is successful, then your game begins. This man will use these photos to sentence you for your crimes and the only way to stop him is taped underneath the TV. Let him save you and accept your fate to rot in prison, or kill him and guarantee your freedom. Make your choice.
Tena ziwe automatic
DuhKidumu cha 2,500 na kibiriti cha 100
Ni mchaga mwenzako huyo!kwenye hii dunia hakuna ujinga mkubwa zaidi ya ujinga wa ukabila,udini,ukanda na urangi.
π πππππ’π πππ π πππ’ππ π. π ππππππ π πππππππ.Wakurya nao wameamka siku hizi. nilijua wachagga tu.