Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Ile kidogo ilobaki nanunua petroli, mpe taarifa yule shemeji yako maana siku hizi ako na matendo makuu kweli kweli.Wanaume kwa sasa wanapitia kipindi kigumu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile kidogo ilobaki nanunua petroli, mpe taarifa yule shemeji yako maana siku hizi ako na matendo makuu kweli kweli.Wanaume kwa sasa wanapitia kipindi kigumu sana.
Ametuangusha sana katika hili.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila baharia mwenzetu amekosea sana maana makubaliano yetu ilikuwa kuwachoma wakiwa ndani ya nyumba tena usiku wa manane ili kupisha harakati zingine za kutoroka na kupoteza ushahidi
Mapenzi yamevamiwaWakurya nao wameamka siku hizi. nilijua wachagga tu.
Wanaume wenyewe tupo wachache bado mnataka kutumalizia
Muanze mara ngapi? Haya ni malipizi maana mlianza nyie haya mabalaa.Tukianza kulipiza msianze kelele zenu za haki za wanawake
Halafu ana mabega wakawakaTunapeana tu taarifa si kwa ubaya!
Ni hivi mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la TINA (kabila tunalihifadhi) kaamua kuchoma nyumba anayoishi mpenzi wake!
Msisahau pendekezo la kuifanya kimara na mbezi kuwa kanda maalum ya mapenzi ya kibabe!
View attachment 1869232
Hivi Yule aliyekuwa Mama na Watoto wawili huko Masaki ni Kabila Gani? La Kuua ni Kabila basi na Yule houseboy katili ni Mchaga?Wachagga acheni kuwabambika jamaa zetu Wakurya Matukio. Wakati wa Korroso anajitwanga Risasi mkaleta inshu ya Wambura wa Sinza oooh naye anatishia watu Bastora.
Leo mmekuta na Mkurya hewa wa Mbezi kuchoma nyumba ili azibe aibu ya NEEMA MUSHI kumchoma Dogo Zungu.
Naona wiki ijayo mtakuja na FWAMBA la CHACHA kumtapeli Waziri wa Ardhi akijifanya Katibu Mwenezi wa CCM. Waaacheni Wakurya wapumue jamani
😄😄😄😄Naona nyie mnapeleka moto wa kweli kweli, tofauti na ule wa kina Young Lunya😃
Imekuwa fasheni sasaMwanamke wa kikurya amechoma nyumba ya aliyekuwa mwanaume wake mkazi wa mbezi Beach kwa komba kwa sababu ya wivu wa kimapenzi.
Tukio hili lilitekelezwa wakati mwanaume huyo alipokuwa ameenda kazini. Wananchi alofanikiwa kumkamata mtuhumiwa na hivi ninavyoandika mtuhumiwa huyu amefikishwa polisi.
Jamani mkiachwa achikeni, mkitemwa kubalini kutemeka.
-----
Msichana aliyejulikana kwa jina la Tina mkazi wa eneo la Mbezi Beach, Jijini Dar es Salaam amekamatwa na polisi kwa tuhuma za kuchoma nyumba ya anayedaiwa kuwa alikuwa mpenzi wake aitwaye kwa jina moja la Kelvin mkazi wa Mbezi Bondeni.
Ww dada, ujue una jina kama la mpenzi wangu😀😀😀😀😀
Bado hatujajua ni akili zipi hizoWanaume si mmekataa kuishi na sisi kwa akili!?
Mlidhani Mungu aliyewaambia muishi na wanawake kwa akili anatania eee👣👣👣
Kuna mmoja wa kihaya leo amenambia yule aliyechoma Moto makabe ana akili sana ... nimemwangalia nikajua huyu mmmhMwanamke wa kikurya amechoma nyumba ya aliyekuwa mwanaume wake mkazi wa mbezi Beach kwa komba kwa sababu ya wivu wa kimapenzi.
Tukio hili lilitekelezwa wakati mwanaume huyo alipokuwa ameenda kazini. Wananchi alofanikiwa kumkamata mtuhumiwa na hivi ninavyoandika mtuhumiwa huyu amefikishwa polisi.
Jamani mkiachwa achikeni, mkitemwa kubalini kutemeka.
-----
Msichana aliyejulikana kwa jina la Tina mkazi wa eneo la Mbezi Beach, Jijini Dar es Salaam amekamatwa na polisi kwa tuhuma za kuchoma nyumba ya anayedaiwa kuwa alikuwa mpenzi wake aitwaye kwa jina moja la Kelvin mkazi wa Mbezi Bondeni.