mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Amekiuka taratibu.
Mwaka huu ni moto tuu hakuna kingine ni moto tuu
Tumechoka kuchomwa na gunia 2 za mkaa
Kwanza gharama yote ya nini😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Amekiuka taratibu.
Mwaka huu ni moto tuu hakuna kingine ni moto tuu
Huyu hapaTunapeana tu taarifa si kwa ubaya!
Ni hivi mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la TINA (kabila tunalihifadhi) kaamua kuchoma nyumba anayoishi mpenzi wake!
Msisahau pendekezo la kuifanya kimara na mbezi kuwa kanda maalum ya mapenzi ya kibabe!
View attachment 1869232
MBEZI HAKUNA WAKURYA - ATAKUWA MCHAGA TU.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Walituchukulia poa sana.. leo shilingi imegeuka.Tumechoka kuchomwa na gunia 2 za mkaa
Kwanza gharama yote ya nini[emoji23][emoji23][emoji23]
Jisalimishe mapema.. huyo anaweza hata kukubanika[emoji23][emoji23][emoji23]Inabidi kauli ya x wangu niifikirie mara mbilimbili 'nitakufanyia kitu ambacho ndugu zako watalia'
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Hata sisi mnatakiwa pia muishi nasi kwa akili.
Hata hela ya nauli huwa hatuna.. ila gharama za kufumania na kulipa kisasi tunazo.. Hao ndiyo wanawake @IcebreakerYaani wanawake wa leo hawana hela ya kula na ya kusuka ila wanayo hela ya kununua Petroli na kibiriti!!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ni mwendo wa moto tu.. tumechoka[emoji28]Kidumu cha 2,500 na kibiriti cha 100
Wanaume tunakwisha.Mwanamke wa kikurya amechoma nyumba ya aliyekuwa mwanaume wake mkazi wa mbezi Beach kwa komba kwa sababu ya wivu wa kimapenzi.
Tukio hili lilitekelezwa wakati mwanaume huyo alipokuwa ameenda kazini. Wananchi alofanikiwa kumkamata mtuhumiwa na hivi ninavyoandika mtuhumiwa huyu amefikishwa polisi.
Jamani mkiachwa achikeni, mkitemwa kubalini kutemeka.
-----
Msichana aliyejulikana kwa jina la Tina mkazi wa eneo la Mbezi Beach, Jijini Dar es Salaam amekamatwa na polisi kwa tuhuma za kuchoma nyumba ya anayedaiwa kuwa alikuwa mpenzi wake aitwaye kwa jina moja la Kelvin mkazi wa Mbezi Bondeni.
Son😍Kwani hamuwezi ishi bila wanawake?? Mnashangaza sana asee🙄
Mimi sikusamehe mpaka nione mti wa chini umekuwa jivuMa Ex zangu mnisamehe kwa kutokuwaoa
Nitaendelea kukupea usiwazeMimi sikusamehe mpaka nione mti wa chini umekuwa jivu