Mbezi Beach, Dar: Mwanamke achoma nyumba ya mpenziwe wa zamani

Mbezi Beach, Dar: Mwanamke achoma nyumba ya mpenziwe wa zamani

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Amekiuka taratibu.
Mwaka huu ni moto tuu hakuna kingine ni moto tuu


Tumechoka kuchomwa na gunia 2 za mkaa

Kwanza gharama yote ya nini😂😂😂
 
Hello, Brenda. I want to play a game. An officer will try to save you. If he is successful, then your game begins. This man will use these photos to sentence you for your crimes and the only way to stop him is taped underneath the TV. Let him save you and accept your fate to rot in prison, or kill him and guarantee your freedom. Make your choice.
 
Mwanamke wa kikurya amechoma nyumba ya aliyekuwa mwanaume wake mkazi wa mbezi Beach kwa komba kwa sababu ya wivu wa kimapenzi.

Tukio hili lilitekelezwa wakati mwanaume huyo alipokuwa ameenda kazini. Wananchi alofanikiwa kumkamata mtuhumiwa na hivi ninavyoandika mtuhumiwa huyu amefikishwa polisi.

Jamani mkiachwa achikeni, mkitemwa kubalini kutemeka.

-----
Msichana aliyejulikana kwa jina la Tina mkazi wa eneo la Mbezi Beach, Jijini Dar es Salaam amekamatwa na polisi kwa tuhuma za kuchoma nyumba ya anayedaiwa kuwa alikuwa mpenzi wake aitwaye kwa jina moja la Kelvin mkazi wa Mbezi Bondeni.

Wanaume tunakwisha.
 
Back
Top Bottom