Mbezi Beach kwa Zena: Mwili wa mwanaume wagundulika, inadaiwa ameuliwa kwa kuchinjwa

Mbezi Beach kwa Zena: Mwili wa mwanaume wagundulika, inadaiwa ameuliwa kwa kuchinjwa

Kuna clip moja nimeiona wasp mtu anampiga mwezie na nyundo kichwani na watu wengine wanacheka [emoji24][emoji24][emoji24]so pain sijui huwa tuna waza nini mpaka mtu unafanya ukatili wa hivi
Ndio muache mizaha inayoweza kuwaharishia maisha
 
Write your reply...polis watapotezea tu sbb huyo marehemu hakua na ukubwa wwt kwenye jamii
 
Ukisikia polisi mtu kapewa kesi ya kichwa (kesi ya mauaji) ndio matukio kama haya ambayo polisi haijisumbui kuyachunguza ila wanakaa nayo kiporo.. Siku msipoenda sawa unapewa kesi ya mauaji
Tumefikia huko mkuu
 
Eti wakate miti,kwanini wakate miti
Mnataka eneo liwe jangwa

Ova
 
Mungu ampokee mja wake.

Maoni ya wsnanchi kukata miti ili kuweka usslama ninayaona si sahihi.

Hapo ni kuweka doria na ulinzi shirikishi.

Mazingira tunayahitaji kuyalinda pia
Naafiki.
 
....ila kuna kitu nimeona hapa

Kuna Unduminakuwili na Wanduminakuwili.

Nafikiri nawaona watu humu humu(kwenye mada hii)wanao ona Unyama umefanyika na Wanahuruma, yaani wana Ubinadamu wakati mwingine hao hao nawa ona wakichagiza ya kulokota na wanajiondoa huo Ubinadamu....wakati Familia za watu zikiteseka Duh

Kuna wale wanaoona Polisi hawafanyii/hawaupatii wajibu wao kipaumbele kwenye masuala muhimu. Lakini baadhi waliona ni sawa polisi kutumika katika Ungamizaji wa Jamii nzima Loliondo "Masai Genocide" kwa sababu nyepesi kama za 'kiMazingira'

Uwezekano wa watu fulani kuona kukatwa kwa Miti hapo kutapunguza makali ya Mauaji haunishangazi

Nawashangaa wanoona huruma, kwa kinafiki.

Amani iwafikie
 
Kuna clip moja nimeiona wasp mtu anampiga mwezie na nyundo kichwani na watu wengine wanacheka [emoji24][emoji24][emoji24]so pain sijui huwa tuna waza nini mpaka mtu unafanya ukatili wa hivi
Rudisha avatar picha Yako tuliyokuzoea ya jamaa kavaa tracksuit ya blue na kofia
 
Kumbe na wewe umeiona yule jamaa siyo kabisa
Ile clip nilitegemeaga itazua mjadala ila sikuona.. na sikuitazama niliona cover tu zaidi waliotuma jinsi tu walivyokua wanaijadili nilishindwa kuangalia inaonekana ni ukatili wa hali ya juu.. ila wanasema sio bongo
 
Back
Top Bottom