Kimara Suka ilipo Gapco Gas Stop kuna CRDB ATM.
Mbezi Kwa Msuguri/Cha Zamani kuna NMB ATM.
Mbezi Luis (Mwisho) kuna NBC ATM
Mbezi Luis (Mwisho) karibu na stendi mpya next to fremu za mama Lema kuna ujenzi wa bank unaendelea ingawa sifahamu ni bank ipi haswa.
Taratibu benki zitajengwa tu...
Ni bank ya NMB mkuuKimara Suka ilipo Gapco Gas Stop kuna CRDB ATM.
Mbezi Kwa Msuguri/Cha Zamani kuna NMB ATM.
Mbezi Luis (Mwisho) kuna NBC ATM
Mbezi Luis (Mwisho) karibu na stendi mpya next to fremu za mama Lema kuna ujenzi wa bank unaendelea ingawa sifahamu ni bank ipi haswa.
Taratibu benki zitajengwa tu...
akina mangi wako bizi na biashara ya mbuzi katoliki bengi za kazi gani.
bank zote zipo new bagamoyo road,na mbagala teh teh!ujambazi mbezi kimara ni balaa wameshaua class mates zangu 2
Wachaga wa kimara wana hela nyingi lakini hawaweki bank. na biashara zao ni za cash na hawalipi kodi. haya ni mawazo yangu:glasses-nerdy:
Bado najiuliza kwanini mbezi kimara haina hata bank moja?
Inakuwaje Bank sinaegemea pande nyingine lakini sio kimara
Mbezi kimara ina watu wengi lakin haina bank ya kusadia wakzi wa huku
kufanya shughuli za kibenki
Hivi hata kama hujui kusoma, hata kwa macho huwezi kuona?
Angalia namna benki zilivyopangana along Bagamoyo road kuanzia Tangibovu mpaka Tegeta; NBC, CRDB, NMB, AZANIA, ACB, MKOMBOZI, BANK na nyingine zinakuja.
Kimara-Mbezi ni eneo lililo laaniwa. Usicheze na laana mkuu.
Hama huko hakufai.
Wachaga wa kimara wana hela nyingi lakini hawaweki bank. na biashara zao ni za cash na hawalipi kodi. haya ni mawazo yangu:glasses-nerdy: