TANZIA Mbezi Msakuzi: Mwanaume afariki dunia kwa kujinyonga

TANZIA Mbezi Msakuzi: Mwanaume afariki dunia kwa kujinyonga

Nilishajaribu nimeshindwa kuacha. Ni kama mla unga tu kwenye sekta ya michepuko.

Nimehamua kuendelea nayo tu ndio udhaifu nilioumbiwa
Ina maana sio mchepuko ni michepuko, mzigo mzito unajibebesha kwa ajiri ya mkojo tu au kuna laziada unapata huko ?
 
Kosa walilofanya wachaga kushangilia kifo cha Magufuli litawagharimu hadi kizazi cha tatu.
 
Huko chamazi juzi tu siku ya Eid mme kamuuwa mkewe kwa kumchoma na kisu ni watu wa Tanga lakini habari haijawaha viral! Leo mtu kajinyonga kisa kabila ni mchaga basi na uzi unafunguliwa na kabila linatajwa! Tuache hizi habari tafadhali
 
Mapenzi yakikuendea kombo utaiona dunia chungu,watu wanatakiwa waelewe kuwa huyo uliyenae ukifa atakusahau siku moja hasa ukifa. Kujinyonga siyo suluhisho.
 
Back
Top Bottom