TANZIA Mbezi Msakuzi: Mwanaume afariki dunia kwa kujinyonga

TANZIA Mbezi Msakuzi: Mwanaume afariki dunia kwa kujinyonga

Marehem kaoa mke anayeozidi umri tena saaa ana wajukuu...ina maana mke wangu alianza kugawa utamu mapema sana
 
Inasomeka huko Mbezi eneo la Msakuzi. Mtu mmoja ambaye jina lake ambalo bado halijafahamika, kabila ni Mchaga amekutwa kajinyonga akiwa nyumbani kwake eneo la Mbezi Msakuzi!

Moja ya mashuhuda akiwemo mke wake anayejulikana kwa jina Awaich Nyela amethibitisha.

Taarifa za awali inasadikika kuwa ni wivu wa kimapenzi, Taarifa kamili iko polisi.

Mbezi na kimara naomba isomeke rasmi kuwa ni kanda maalum ya mapenzi ya kibabe.

Updates!
Mtu huyo aliyetambulika kwa jina la ASENGA miaka 37yrs na mkewe Awaich miaka 48 , Inadaiwa kabla ya kujinyonga hawakuwa na maelewano mazuri na mkewe!
Inasomeka marehemu alikuwa akimlalamikia mkewe Mara kwa Mara kujichukulia mikopo kutoka vyanzo mbalimbali na kumpa tabu mmewe kulipa madeni hayo ambayo kuna wakati yalifika hadi 15mil, (na hayakueleweka pesa hivyo mkewe alifanyia nn, zaidi ya mkewe kuchoma mbuzi na bia) ili kuepuka fedheha ya kuchukuliwa vyombo vya ndani na wadeni hao! Mmewe Fundi ASENGA Alipambana kurejesha madeni hayo!
Pamoja na hilo, Marehem ASENGA na mkewe waliwahi kutofautiana na kupatana na mkewe Mara kadhaa katika ndoa yao!
Moja ya migogoro ni pale ASENGA alipotaka kumtimua mkewe, hivyo mkewe alimpeleka polisi na kumweka ndani kwa kosa la kumshambulia mkewe (Awaich).

Katika migogoro hiyo, alipoondoka mkewe kwa mda, ASENGA Alijitwalia mafao (house girl) na kutaka kumuoa, hivyo mkewe ASENGA aliposikia house girl anataka kuolewa, ariludi na kumtimua wakati akiwa na mimba ya ASENGA!

Migogoro hiyo ilisuruhishwa wakaendelea na maisha na mkewe Awaich, lakini ASENGA na mkewe kutokana na tofauti ya umri, ni dhahiri kuwa ASENGA alimuoa mkewe akiwa kashazalishwa, moja ya malalamiko ya ASENGA kabla ya kujinyonga ni kwamba, Alirejea siku chache kutoka mkoa alikokuwa kambi katika shughuli zake za ujenzi, alipofika nyumbani alikuta watoto wengine wawili wa mkewe (Awaich) ambao hakuwahi kuambiwa kuwa aliwazaa kabla na yule mwanaume wa awali, hivyo ASENGA alihoji kuwa kwanini mkewe alimdanganya kuwa ana mtoto mmoja mdogo kumbe kuna wengine wakubwa namna ile tena mmoja kashazalishwa hivyo mkewe ana mjukuu!
ASENGA Aliweka ujumbe mezani kabla ya kuamua kujinyonga chumbani kwake!

Katika ndoa ya ASENGA na mkewe
wachagga mwaka hu wakirudi krismas wajafdili hili suala la mapenzi, wazee wao wawaonye vijana wao waache kuoa wanawake walio bobea kwenye mapenzi/ngono muda wote na sasa waoane wao kwa wao ili kuondoa huku kuuana kila siku.
 
Marehem kaoa mke anayeozidi umri tena saaa ana wajukuu...ina maana mke wangu alianza kugawa utamu mapema sana
Halafu kajakuwajua wengine kwa saprize alivyorud safar akawakuta wengine wawili wakubwa huku mmoja akiwa na mjukuu, ndipo ASENGA akaona bora asepe na kijiji
 
Mwanaume mwenye akili akiwa na mke kama wewe atajinyonga tu

Kwa taarifa tuu kwa hicho unachodhani unakifahamu kwangu ni matokeo ya mume wangu bora niliye nae.
Nina mwanaume mwenye utashi wa hali ya juu na heshma kubwa sana kwenye jamii sio kama mvulana wewe

PigaKeleleKwaBabaD ake💪
 
Halafu kajakuwajua wengine kwa saprize alivyorud safar akawakuta wengine wawili wakubwa huku mmoja akiwa na mjukuu, ndipo ASENGA akaona bora asepe na kijiji
wachagga sikuhizi wameharibika sana kimapenzi
 
Inasomeka huko Mbezi eneo la Msakuzi. Mtu mmoja ambaye jina lake ambalo bado halijafahamika, kabila ni Mchaga amekutwa kajinyonga akiwa nyumbani kwake eneo la Mbezi Msakuzi!

Moja ya mashuhuda akiwemo mke wake anayejulikana kwa jina Awaich Nyela amethibitisha.

Taarifa za awali inasadikika kuwa ni wivu wa kimapenzi, Taarifa kamili iko polisi.

Mbezi na kimara naomba isomeke rasmi kuwa ni kanda maalum ya mapenzi ya kibabe.

Updates!
Mtu huyo aliyetambulika kwa jina la ASENGA miaka 37yrs na mkewe Awaich miaka 48 , Inadaiwa kabla ya kujinyonga hawakuwa na maelewano mazuri na mkewe!
Inasomeka marehemu alikuwa akimlalamikia mkewe Mara kwa Mara kujichukulia mikopo kutoka vyanzo mbalimbali na kumpa tabu mmewe kulipa madeni hayo ambayo kuna wakati yalifika hadi 15mil, (na hayakueleweka pesa hivyo mkewe alifanyia nn, zaidi ya mkewe kuchoma mbuzi na bia) ili kuepuka fedheha ya kuchukuliwa vyombo vya ndani na wadeni hao! Mmewe Fundi ASENGA Alipambana kurejesha madeni hayo!
Pamoja na hilo, Marehem ASENGA na mkewe waliwahi kutofautiana na kupatana na mkewe Mara kadhaa katika ndoa yao!
Moja ya migogoro ni pale ASENGA alipotaka kumtimua mkewe, hivyo mkewe alimpeleka polisi na kumweka ndani kwa kosa la kumshambulia mkewe (Awaich).

Katika migogoro hiyo, alipoondoka mkewe kwa mda, ASENGA Alijitwalia mafao (house girl) na kutaka kumuoa, hivyo mkewe ASENGA aliposikia house girl anataka kuolewa, ariludi na kumtimua wakati akiwa na mimba ya ASENGA!

Migogoro hiyo ilisuruhishwa wakaendelea na maisha na mkewe Awaich, lakini ASENGA na mkewe kutokana na tofauti ya umri, ni dhahiri kuwa ASENGA alimuoa mkewe akiwa kashazalishwa, moja ya malalamiko ya ASENGA kabla ya kujinyonga ni kwamba, Alirejea siku chache kutoka mkoa alikokuwa kambi katika shughuli zake za ujenzi, alipofika nyumbani alikuta watoto wengine wawili wa mkewe (Awaich) ambao hakuwahi kuambiwa kuwa aliwazaa kabla na yule mwanaume wa awali, hivyo ASENGA alihoji kuwa kwanini mkewe alimdanganya kuwa ana mtoto mmoja mdogo kumbe kuna wengine wakubwa namna ile tena mmoja kashazalishwa hivyo mkewe ana mjukuu!
ASENGA Aliweka ujumbe mezani kabla ya kuamua kujinyonga chumbani kwake!

Katika ndoa ya ASENGA na mkewe
Wanatufedhehesha sana Wachaga
 
Wachaga mna nini lakini?? Ni vizuri mkaona ninyi kwa ninyi tu labda mnawezana.
 
Hii tabia ya kuandika tukio fulan afu mwisho unaweka kabila ki ukweli haipendezi.

Mtu ni mtanzania tena pengine unakuta kishaandikwa jina lake, lkn baadae linachomekwa kabila lake sijui kwa manufaa ya nani.

Ila pia linaangaliwa kabila la muhusika ndo linaandikwa, ikionekana ni kabila lingine kinyume na lile linalotakiwa kuandikwa basi haliandikwi.

Kupambana na kabila moja au mawili nchi nzima haitowasaidia chochote, kama hauna hauna tu.
Chief umeshawahi hata kuandikishwa maelezo kituo cha polisi?
 
Nilishajaribu nimeshindwa kuacha. Ni kama mla unga tu kwenye sekta ya michepuko.

Nimehamua kuendelea nayo tu ndio udhaifu nilioumbiwa

Hapana mkuu, usikimbilie kila kitu kama ni udhaifu ulioumbiwa, jiulize kabla hujawajua wanawake huo udhaifu ulikuwa nao? Udhaifu ambao mtu kaumbiwa nao ni ulemavu pekee, kiasi kwamba kama ni mlemavu wa mguu basi atakuwa na huo ulemavu ikiwezekana hadi kufa kwake. Haya mengine ni madhaifu tunayoyatengeneza sisi wenyewe!
 
Hii tabia ya kuandika tukio fulan afu mwisho unaweka kabila ki ukweli haipendezi.

Mtu ni mtanzania tena pengine unakuta kishaandikwa jina lake, lkn baadae linachomekwa kabila lake sijui kwa manufaa ya nani.

Ila pia linaangaliwa kabila la muhusika ndo linaandikwa, ikionekana ni kabila lingine kinyume na lile linalotakiwa kuandikwa basi haliandikwi.

Kupambana na kabila moja au mawili nchi nzima haitowasaidia chochote, kama hauna hauna tu.
Hata polisi wanafanya sana
Dini...
Kabila...
Utanzania wetu unaharibiwa
 
Hii tabia ya kuandika tukio fulan afu mwisho unaweka kabila ki ukweli haipendezi.

Mtu ni mtanzania tena pengine unakuta kishaandikwa jina lake, lkn baadae linachomekwa kabila lake sijui kwa manufaa ya nani.

Ila pia linaangaliwa kabila la muhusika ndo linaandikwa, ikionekana ni kabila lingine kinyume na lile linalotakiwa kuandikwa basi haliandikwi.

Kupambana na kabila moja au mawili nchi nzima haitowasaidia chochote, kama hauna hauna tu.
Polisi wenyewe wanaweka Kabila huyu anafuatia tu
 
Huko chamazi juzi tu siku ya Eid mme kamuuwa mkewe kwa kumchoma na kisu ni watu wa Tanga lakini habari haijawaha viral! Leo mtu kajinyonga kisa kabila ni mchaga basi na uzi unafunguliwa na kabila linatajwa! Tuache hizi habari tafadhali
Kuna sehemu hata ikitokea dharura gani gazeti hakiwezi kuweka front page mfano Lindi
 
Back
Top Bottom