TANZIA Mbezi Msakuzi: Mwanaume afariki dunia kwa kujinyonga

Just imagine mke wake kathibitisha tukio na kabila, lkn jina lake halijafahamika. ikimaanisha hata mkewe wa ndoa halifahamu jina la mumewe!
Kwa hali ya sasa ilivyo,,jina halina maana yeyote kulifahamu,

Muhimu ni kabila lake ,,ili tuwe na tahadhari...na upande huo..
 
Mbezi na kimara naomba isomeke rasmi kuwa ni kanda maalum ya mapenzi ya kibabe[emoji3064][emoji3064][emoji3064] Hata wale wazee waliokufa gesti wakiwa na vibinti ni huko huko kanda maalum
 
Mbezi na kimara naomba isomeke rasmi kuwa ni kanda maalum ya mapenzi ya kibabe[emoji3064][emoji3064][emoji3064] Hata wale wazee waliokufa gesti wakiwa na vibinti ni huko huko kanda maalum
Nimeweka UPDATES YA Taarifa soma
 
Hauna Nini?


Mimi nadhani kwenye swala la kuoa oa kabila lako
 

Marehemu ni Jinga kabisa
 
Mwanaume mwenye akili akiwa na mke kama wewe atajinyonga tu
Hii roho ya watu kujiua kwa kisingizio cha mapenzi ni roho chafu inahitaji kukemewa

Pole sana kwa wafiwa wote
 
Wachaga sasa ndo mmeanza kujua mapenzi eti eeh.
 
...Wala usikwazike Mkuu. Kulitaja taja Kabila ni namna yao Kukiri kwamba Wanalikubali!!![emoji16]
 
jamaa kaoa mke aliyemzidi miaka 10
 
Asenga bhana! 😁😁😁 Yaani amekufa huku akituachia burudani ya kutosha tu huku duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…