Kwanza naomba elekezwa ilipo LUBUMBASHI Kwa God napafaham.
Madada wa kununua ki ukweli yahitaji ukaze nafsi na roho na uwe mzoefu ila ukiwa ndio unaanza kutest,lazima yakushinde.
Udomo zege ni kawaida yangu tangu enzi na enzi saivi tupu ni zege mzuri tu sema naokolewa na vitu vituz....
Nishawahi pata manzi ya kununua si unajua wanakwambia Hela Mbele ndio mnaenda,basi nikatoa chake tukaenda.
Kufika Site,anataka tuanze tuu Daah nikamwambia siwezi,tupate kwanza hata kifungua kinywa tu (romance) akakubali,
Kunletea mdomo,nilipokelewa na harufu mixer Sigara,bangi,ugoro,nikazuga namkiss mashavu na kupita shingoni..
naenda shingoni napokelewa na chumvi kali kuzidi maji ya baharini,nikaona hii sasa kali siwezi endelea.
Nikapga hesabu kweli huyu nimle au nipotezee hela yangu iwe imeenda.
Akili ikaniambia kausha,kwakua binti alikua na maharaka yake akawa ananiambia
Kaka Mbona Uzungu unazidi sasa, mi nipo kazini hapa nataka kusepa.
Nikajifanya nimekasirika,Nimesusa nikamwambia Dada unanikata stimu mimi kupelekeshwa sipendi kama vipi sepa.
Kweli akainuka akasepa zake.... Namimi nikatoka zangu huyoooo, nikasepa sina hata nyege hata 1 nikifkiria zile harufu,zile chumvi.. aah weee siwezi,yalinishinda.