Mbichi na mbivu za uhuru wa shughuli za Kisiasa

Mbichi na mbivu za uhuru wa shughuli za Kisiasa

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Kuanza kwa shughuli za kisiasa kumekuja na yake.

Tayari mwelekeo uko wazi. Mikutano ya CCM, Chadema na CUF imesikika na mwenye macho kaona.

Hayapo mashaka tena kuwa Chadema haina cha kufanya na ushoga wala kwamba upo mtafaruku wowote wa kimadaraka chamani.

"Chadema inataka katiba mpya, sasa."

Yaliyowakuta CCM ikungi au Lipumba Magomeni hakuna asiyejua.

Tulipo ni kwenye vyama kuvutia uungwaji mkono. Kwenye vita hivi vya panzi tayari lugha zimeanza kueleweka.

Haina shaka kuwa yale mambo yetu ya "boom" ni katika jitihada za kukaba penati.

Hali kadhalika Kwa wito huu:

Screenshot_20230212-170519.jpg


Ni wazi kuwa joto ya jiwe jusi kwishajuwa.

"Mlete mlete mzungu!"
 
Nawaunga mkono 100%
ACT Wana akili - kwanza umoja ni nguvu. Mengine ya nini bwana?

Wamevunja ukimya wawaalike vyama vingine kwenye ufunguzi wao Kigoma.

Tunajenga nyumba moja na yaliyopita si ndwele.
 
Kama move ya boom ni ukabaji wa penalty basi wananchi watakua wamjionea ni kwa jinsi gani wanahitaji upinzani wenye nguvu sana ili mamia kwa maelfu ya penalty zikabwe na hatimaye maisha bora
 
Kuanza kwa shughuli za kisiasa kumekuja na yake.

Tayari mwelekeo uko wazi. Mikutano ya CCM, Chadema na CUF imesikika na mwenye macho kaona.

Hayapo mashaka tena kuwa Chadema haina cha kufanya na ushoga wala kwamba upo mtafaruku wowote wa kimadaraka chamani.

"Chadema kunatakikana katiba mpya, sasa."

Yaliyowakuta CCM ikungi au Lipumba Magomeni hakuna asiyejua.

Tulipo ni kwenye vyama kuvutia uungwaji mkono. Kwenye vita hivi vya panzi tayari lugha zimeanza kueleweka.

Haina shaka kuwa yale mambo yetu ya "boom" ni katika jitihada za kukaba penati.

Hali kadhalika Kwa wito huu:

View attachment 2515084

Ni wazi kuwa joto ya jiwe jusi kwishajuwa.

"Mlete mlete mzungu!"
Hayapo mashaka tena kuwa Chadema haina cha kufanya na ushoga wala kwamba upo mtafaruku wowote wa kimadaraka chamani.[emoji1752][emoji1545]
 
Kama move ya boom ni ukabaji wa penalty basi wananchi watakua wamjionea ni kwa jinsi gani wanahitaji upinzani wenye nguvu sana ili mamia kwa maelfu ya penalty zikabwe na hatimaye maisha bora

Upinzani wenye nguvu ni suluhu kwa matatizo yetu mengi. Haitakuwa ajabu kusikia ya kikotoo, la maana kuhusu mfumuko wa bei, mikakati ya ajira mpya nk.
 
Kuanza kwa shughuli za kisiasa kumekuja na yake.

Tayari mwelekeo uko wazi. Mikutano ya CCM, Chadema na CUF imesikika na mwenye macho kaona.

Hayapo mashaka tena kuwa Chadema haina cha kufanya na ushoga wala kwamba upo mtafaruku wowote wa kimadaraka chamani.

"Chadema inataka katiba mpya, sasa."

Yaliyowakuta CCM ikungi au Lipumba Magomeni hakuna asiyejua.

Tulipo ni kwenye vyama kuvutia uungwaji mkono. Kwenye vita hivi vya panzi tayari lugha zimeanza kueleweka.

Haina shaka kuwa yale mambo yetu ya "boom" ni katika jitihada za kukaba penati.

Hali kadhalika Kwa wito huu:

View attachment 2515084

Ni wazi kuwa joto ya jiwe jusi kwishajuwa.

"Mlete mlete mzungu!"
Walete wadhungu,walete wadhungu,😂.Hatuja malizaaa🏃🏃
 
Back
Top Bottom