Watetezi ni wale kichaa mmoja kila watanzania wanne 😂
Usisahau haijaanzisha tu vita na Chadema,ipo ile vita ya kukesha Buguruni kuiua cuf,na kuigawa kwenda ACt😀Wangekuwa na akili wangekuwa wamemshauri Lipumba vyema. Hakupaswa kununua vita na Chadema angalau kurefusha uwepo wake.
Angewakaribisha vyama vingine kumwunga mkono waungwana wangejitokeza.
HakikaKama move ya boom ni ukabaji wa penalty basi wananchi watakua wamjionea ni kwa jinsi gani wanahitaji upinzani wenye nguvu sana ili mamia kwa maelfu ya penalty zikabwe na hatimaye maisha bora
Lipumba is sign of failureUsisahau haijaanzisha tu vita na Chadema,ipo ile vita ya kukesha Buguruni kuiua cuf,na kuigawa kwenda ACt😀
Kwanza inabidi ukubali aibu hata kwa wanao wa kuwazaa.Hakuna kazi ngumu na ya fedheha kama kuitetea CCM
Alishapotea astaafu sasaLipumba is sign of failure
Kwa madoido kuliko huyu ambaye bei y mahindi tu inamtoa jasho.Hata kaburu SA, Saddam Iraq, Al Bashir Sudan, Mubarak Misri walikuwa wakisema kama wewe.
Hakika ndugu yanguKwanza inabidi ukubali aibu hata kwa wanao wa kuwazaa.
Kama move ya boom ni ukabaji wa penalty basi wananchi watakua wamjionea ni kwa jinsi gani wanahitaji upinzani wenye nguvu sana ili mamia kwa maelfu ya penalty zikabwe na hatimaye maisha bora
😁😁Wataahidi hata kushusha nauli ya meli Dom to Dar!!!
😁😁Wataahidi hata kushusha nauli ya meli Dom to Dar!!!
[emoji38][emoji38][emoji38] Nimefurahishwa na hiyo mlete mzunguKuanza kwa shughuli za kisiasa kumekuja na yake.
Tayari mwelekeo uko wazi. Mikutano ya CCM, Chadema na CUF imesikika na mwenye macho kaona.
Hayapo mashaka tena kuwa Chadema haina cha kufanya na ushoga wala kwamba upo mtafaruku wowote wa kimadaraka chamani.
"Chadema inataka katiba mpya, sasa."
Yaliyowakuta CCM ikungi au Lipumba Magomeni hakuna asiyejua.
Tulipo ni kwenye vyama kuvutia uungwaji mkono. Kwenye vita hivi vya panzi tayari lugha zimeanza kueleweka.
Haina shaka kuwa yale mambo yetu ya "boom" ni katika jitihada za kukaba penati.
Hali kadhalika Kwa wito huu:
View attachment 2515084
Ni wazi kuwa joto ya jiwe jusi kwishajuwa.
"Mlete mlete mzungu!"
Kila siku siyo JumapiliCCM is here to stay.
Ni kweli ila leo ni Jumapili Mkuu.Kila siku siyo Jumapili
[emoji38][emoji38][emoji38] Nimefurahishwa na hiyo mlete mzungu
Hii ni weakness kubwa ya Chama changu...Hawataki ku recruit na kuwatumia watu wenye substance, hii wasipoangalia itapelekea kushindwa kuhimili mapema sana kama demokrasia itatamalaki....
Wanategemea state apparatusesHii ni weakness kubwa ya Chama changu...Hawataki ku recruit na kuwatumia watu wenye substance, hii wasipoangalia itapelekea kushindwa kuhimili mapema sana kama demokrasia itatamalaki....