Mbichi na mbivu za uhuru wa shughuli za Kisiasa

Wangekuwa na akili wangekuwa wamemshauri Lipumba vyema. Hakupaswa kununua vita na Chadema angalau kurefusha uwepo wake.

Angewakaribisha vyama vingine kumwunga mkono waungwana wangejitokeza.
Usisahau haijaanzisha tu vita na Chadema,ipo ile vita ya kukesha Buguruni kuiua cuf,na kuigawa kwenda ACt😀
 
Aina kuu za mifumo ya kisiasa ni 1.Demokrasia, 2.Tawala za kifalme, 3.Tawala za kimabavu 4.Tawala za kiimla.
Labda kwa miaka 30 wanahubiri mfumo ambao ni tofauti na ule ambao wengi wanaupenda😂😂sawa nakumpigia🦄🎻
20% vs 80% ya kuaziswa mfumo wa vyama vingi bado iko kwenye DNA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
 
Kama move ya boom ni ukabaji wa penalty basi wananchi watakua wamjionea ni kwa jinsi gani wanahitaji upinzani wenye nguvu sana ili mamia kwa maelfu ya penalty zikabwe na hatimaye maisha bora

Hawa hapa:



Na bado!
 
😁😁Wataahidi hata kushusha nauli ya meli Dom to Dar!!!

Tutawasikia hadi kwenye kupigania katiba mpya na kumlaani mno yule mwingine.

Sasa hivi ni mwendo wa furaha ya kunguru. Hata wale wa LST muda ni huu.🤣🤣
 
[emoji38][emoji38][emoji38] Nimefurahishwa na hiyo mlete mzungu
 
Hii ni weakness kubwa ya Chama changu...Hawataki ku recruit na kuwatumia watu wenye substance, hii wasipoangalia itapelekea kushindwa kuhimili mapema sana kama demokrasia itatamalaki....

Kuitetea CCM wahenga wamesema ujitoe ufahamu kwanza:

 
Hii ni weakness kubwa ya Chama changu...Hawataki ku recruit na kuwatumia watu wenye substance, hii wasipoangalia itapelekea kushindwa kuhimili mapema sana kama demokrasia itatamalaki....
Wanategemea state apparatuses
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…