Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawapotosha wenye akili za panzi. We binadamu una uwezo gani wa kumpangia uumbaji wa Mungu ?Sawa kabisa, kama picha zinavyo onesha, na kama umesoma vizuri mada yangu iliyo zungumzia VITA SITA AMBAVYO MUNGU HAKUUMBA unaweza kunielewa vizuri.
Vitu sita ambavyo si viumbe vya Mungu
huo ulimwengu ni zao la mungu, na mungu ndio kasababisha BING BANG. na kwa ujanja wake akaweza kumfunga kiza.
kumbuka pia mimi ni mfano wa mungu.Unawapotosha wenye akili za panzi. We binadamu una uwezo gani wa kumpangia uumbaji wa Mungu ?
Kuna vitu vingine mpaka leo Hiyo sayansi yako haijapata majibu viliumbwaje.
Mungu hafanani na kitu chochote..akili ya Mwanadamu haiwezi kumpima Mungu.kumbuka pia mimi ni mfano wa mungu.
tukutane hapa baada ya kufutar mida hii saumu kali,, naweza kuandika pumbaMungu hafanani na kitu chochote..akili ya Mwanadamu haiwezi kumpima Mungu.
Sawa.tukutane hapa baada ya kufutar mida hii saumu kali,, naweza kuandika pumba
Ina maana giza ndo alikuwa mkuu wa Ulinwengu!Sawa kabisa, kama picha zinavyo onesha, na kama umesoma vizuri mada yangu iliyo zungumzia VITA SITA AMBAVYO MUNGU HAKUUMBA unaweza kunielewa vizuri.
Vitu sita ambavyo si viumbe vya Mungu
huo ulimwengu ni zao la mungu, na mungu ndio kasababisha BING BANG. na kwa ujanja wake akaweza kumfunga kiza.
Umeniacha hapa kwenye ufafanyzi wa KIZA. Be specific unaongelea kiza kipi? ina maana kutokuelewa jambo ndio kiza unachomaaanisha?Uhai na umauti
hapa mimi nazungunzia Kifo
Nakubali kuwa mungu kaumba kiza, lakini si hichi ambacho nakizungumzia mimi.
Mathalani, kwa mujibu wa quran, hatuna tunachojua juu mambo mengi kabla ya MUNGU, na hayo tusio yajua ndio KIZA chenyewe ninacho kizingumza, na kiza ambacho kilikuwa na mungu kabla ya ulimwengu.
Usijinyime maarifa, ukishatosheka matokeo yake utakuwa na idle brain na kumbuka An idle brain is a capentry of a devilMnahangaika kuhoji vitu msivovijua. Akili ya Mwanadamu haiwezi kutambua Uumbaji wa Mungu Tosheka na kwama Mungu ameumba kila kitu mbinguni na ardhini na vilivyomo..kwa kifupi ni Kila kitu.
Usijinyime maarifa, ukishatosheka matokeo yake utakuwa na idle brain na kumbuka An idle brain is a capentry of a devil
Vipi mbona umekuja na kisirani? Nilichoandika kitabaki hivyo hivyo na kuna siku kitakuwa msaada mkubwa sana kwako! Kumbuka maandashi hayafutikiAcha uoga wa kufikiria .....na Majibu yako ya kinafiki....
Mbingunihivi wakati Mungu anaumba dunia ALIKAA WAPI YEYE
hapo mwanzo Mungu aliziumba Mbingu na Nchi...........kabla hajaumba mbingu alikaa wapiMbinguni
Mbinguni kwake sio hizi alizoumbia wanadamuhapo mwanzo Mungu aliziumba Mbingu na Nchi...........kabla hajaumba mbingu alikaa wapi
Mkuu BIG BANG ilisababishwa na Mungu kivipi?Sawa kabisa, kama picha zinavyo onesha, na kama umesoma vizuri mada yangu iliyo zungumzia VITA SITA AMBAVYO MUNGU HAKUUMBA unaweza kunielewa vizuri.
Vitu sita ambavyo si viumbe vya Mungu
huo ulimwengu ni zao la mungu, na mungu ndio kasababisha BING BANG. na kwa ujanja wake akaweza kumfunga kiza.