Mbingu, Anga, Jua na Uumbaji...

Mbingu, Anga, Jua na Uumbaji...

Nilipo soma ule uzi wako wa mwanzo ukielezea vitu 6 ambavyo si viumbe vya Mungu binafsi nilikupuuza niliona umekurupuka tu, maana hoja zako zote hazikua na mashiko, lakini naona bado unaendelea kupotosha watu.

Qur'an 21-33 inasema, Nae ndie ambae ameumba usiku na mchana na Jua na Mwezi vyote vinaelea angani. unajua kwa nini Allah kataja usiku na mchana kisha akataja Jua na Mwezi?

Pia ukisoma ktk Surat Mulk aya ya pili, Allah anasema yeye ndie alie umba umauti na uhai, kwa maana hiyo mauti imeumbwa na uhai pia umeumbwa,

ningekua na muda wa kutosha kwa sasa ningekujibu hoja zako zote, ila nakusihi pendelea sana kuuliza kwa jambo usilokua na elim nalo, na sio kukurupuka kuhukumia mambo wakati huna elim nayo.
Halafu mwenyewe anajiona ana akili sana na ameelezea kitu kigumu sana,wakati magenius tuko kimya na kazi ya ALLAH haina shaka wala kasoro.
 
Brilliant.amaizing,astonishing!u a very genius
Nashangaa sana kuna VILAZA wanajiona wana akili nyingi sana na wanayaona makosa ya mungu eti kwasababu wana digirii,masters na Phd.Tena wengine wanajiona magenius kwasababu wamesoma UDSM na MZUMBE,kwahiyo wana uwezo mkumbwa sana wa kufikiri na kuchambua mambo ya kuonyesha mapungufu ya mungu.Nathibitisha kwamba wote ni VILAZA kwa mujibu wa aya ya ALLAH isemayo
"Ahadi ya mwenyezi mungu ni kweli lakini watu wengi hawajui"
ALLAH meahidi kila nafsi itaonja umauti na katika hili hakuna haja ya kuhangaika wala digirii kuliona,pia namalizia kuthibitisha kwamba watu hawa ni VILAZA tena kwa level ya profesa kwakuuliza swali lifuatalo;
Je mtu aliyekufa kwakupungukiwa damu mwili wake ambao unakua ni maiti ukiongezewa damu atarudi katika uhai au atafufuka?
 
Back
Top Bottom