kidole cha simba
JF-Expert Member
- Jun 3, 2022
- 1,994
- 2,510
weeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!! mbinguni bila mikasi na mi2ngu ni mbingu gani hiyo?Mbingu ya Islam Iko chini, lakini mbingu ya WATAKATIFU Iko juu.
Ukijua Kuna Mbingu ya kwanza Hadi ya tatu, ndipo utajua mbingu ya Islam Iko tofauti na ya wakristo.
Ni za connection kama hujuani na watu huwezi kuzipata. Salimia watu. 😁😁Hii picha ya mbinguni wao wameitoa wapi? Au ni moja ya zile picha za mbinguni tunazoambiwa zimevuja?
wee si umeona mbinguni wamevaa jeansNi za connection kama hujuani na watu huwezi kuzipata. Salimia watu. 😁😁
Kwanini kusifu na kuabudu ni raha kuliko kuwa na mke mzuri?Mbinguni mke na mume wakifanikiwa kuingia wanaitana kaka na dada,
Mke na mume ni duniani Kwa ajili ya kuzaana kimwili.
Mbinguni tamaa za mwili zinakuwa hazipo Bali hamu inakuwa ni kumtukuza na kufurahi ukuu wa Mungu.
Yesu alishasema, Mbinguni hakuna Kuoa Wala kuolewa, tunakuwa kama walivyo Malaika Mbinguni.
mke mzuri yukoje?Kwanini kusifu na kuabudu ni raha kuliko kuwa na mke mzuri?
Anamhudumia mumewe kwa uaminifu, anampikia chakula kizuri na anampatia burudani ya mwili huku na yeye akiinjoy.mke mzuri yukoje?
da!!!Anamhudumia mumewe kwa uaminifu, anampikia chakula kizuri na anampatia burudani ya mwili huku na yeye akiinjoy.
Hapa ndio tutakuwa tunagida pombe hapa.Oya cheki mbinguni palivyo paruzi. Yani tutakuwa tunakaa zetu tu vimbwetani kusoma novel na kuimba kwaya.
Yees, yees.da!!!
Adam aliishi miaka mingi bila mke na MAISHA yalisonga.Kwanini kusifu na kuabudu ni raha kuliko kuwa na mke mzuri?
Kwanini akapewa mke kama hakuwa anahitajika?Adam aliishi miaka mingi bila mke na MAISHA yalisonga.
Adam hakuwa katika uwepo wa uzuri wa MUNGU?Sasa uwe katika uwepo na uzuri wa Mungu vipi uwaze mke?
Kwanini isiwe na tamaa ya ngono, mbona ngono ni zawadi nzuri sana tuliyopewa?Na ujue miili mipya tutakayopewa Si hii, ni mipya, Haina tamaa ya ngono.
Kuna kwenda haja kubwa na ndogo? Usilidharau hili swali nina sababu ya kukuuliza.Halafu Mbinguni Kuna mengine yanafanyika, Si kumsifu na kuabudu pekee, kula na kunywa pia kupo.
kuna kusikia njaa?Kuna matunda na vyakula ambavyo duniani havupo, Kuna Kila aina ya uzuri
Unajua watu wameelekeza imani zao kwa kuona kwa macho yao. Ndio maana ya picha hizo, kikubwa usiabudi kila picha unayokutananayo.Amina mtumishi, hivi hizo picha ni za mbinguni?? Hamuoni kama hazifai kutumika maana kuna wengine wataona mbinguni ni poa kawaida wataanza kuzitumia kama wanavyotumia picha za muigizaji wa movie ya Jesus
Mbinguni Kuna kula lakini hakuna njaa,Kwanini akapewa mke kama hakuwa anahitajika?
Adam hakuwa katika uwepo wa uzuri wa MUNGU?
Kwanini isiwe na tamaa ya ngono, mbona ngono ni zawadi nzuri sana tuliyopewa?
Nijibu bila unafiki, kati ya kuimba na ngono kipi ni starehe kwa binadamu? Ukumbuke wanafiki hawataiona mbingu.
Kuna kwenda haja kubwa na ndogo? Usilidharau hili swali nina sababu ya kukuuliza.
kuna kusikia njaa?
"Paruzi" haswaaaa...!!Oya cheki mbinguni palivyo paruzi. Yani tutakuwa tunakaa zetu tu vimbwetani kusoma novel na kuimba kwaya. 🤣View attachment 3201504
Sasa unakula ili iweje kama hakuna njaa?Mbinguni Kuna kula lakini hakuna njaa,
Hakuna huzuni,
Hakuna kufa,
Hakuna hasira,
Hakuna vyoo, maana ulapo hauhutaji mchakato kama wa mwili huu, mwili wa kiroho ni kama kioo, ni kama Malaika walivyo.
Kuelewa mambo ya MWILI wa Roho Kwa akili za mwilini ni ngumu sana.
Adam aliishi miaka mingi bila mke na hakuona tofauti yoyote.
Ukitaka ngono, ingia mbingu ya Waislamu, kule kuzimu kavu,Kwanini akapewa mke kama hakuwa anahitajika?
Adam hakuwa katika uwepo wa uzuri wa MUNGU?
Kwanini isiwe na tamaa ya ngono, mbona ngono ni zawadi nzuri sana tuliyopewa?
Nijibu bila unafiki, kati ya kuimba na ngono kipi ni starehe kwa binadamu? Ukumbuke wanafiki hawataiona mbingu.
Kuna kwenda haja kubwa na ndogo? Usilidharau hili swali nina sababu ya kukuuliza.
kuna kusikia njaa?
Kwani kula ni Hadi uwe na njaa?Sasa unakula ili iweje kama hakuna njaa?
Ili kufurahia matunda na vyakula alivyoandaa Mungu kwa ajili ya watakatifu wake.Sasa unakula ili iweje kama hakuna njaa?
Raha ya kula usikie njaa, raha ya kunywa uwe na kiu. Unaposema raha, unafahamu maana yake lakini boss?Mbinguni Kuna kula lakini hakuna njaa,
Well, hili ni jambo zuri.Hakuna huzuni,
Jambo zuri, ila unaishi milele ukifanya mambo gani?Hakuna kufa,
Jambo zuri.Hakuna hasira,
Malaika wapoje?Hakuna vyoo, maana ulapo hauhutaji mchakato kama wa mwili huu, mwili wa kiroho ni kama kioo, ni kama Malaika walivyo.
Hapana, kinachotakiwa ni kuachana na assumption.Kuelewa mambo ya MWILI wa Roho Kwa akili za mwilini ni ngumu sana.
Utofauti unaupimaje boss? Utofauti unaupima baada ya kuwa na mke si kabla.Adam aliishi miaka mingi bila mke na hakuona tofauti yoyote.