Mbinguni kuna amani na furaha ya milele. Ndugu tuweke malengo ya kuishi milele kwa Mungu

Sasa Mbinguni hakuna uchafu,

Vyoo hutunza uchafu, waste products,

Sasa Mbinguni hakuna kitu hiyo.

Mtu na Malaika tofauti Yao ni ndogo sana.

Mtu aliye ndani ya MWILI, ni kama tu Malaika,

Tulia vizuri chunguza ndoto zako, Kuna wakati unatembea na kwenda sehemu mbalimbali na unaona, unatembea na kutambua Kila kitu while mwili umelala.

Huyo ndiye mtu, ni ROHO tu kama Malaika walivyo Roho na miili ya Roho.
 
Sasa Mbinguni hakuna uchafu,

Vyoo hutunza uchafu, waste products,
Sikia mkuu, hapo ulipo una kinyesi tumboni. Kinyesi ni nyumbani kwa viumbe hai wengine wengi tu. Viumbe vya MUNGU, unajua hilo?
Sasa Mbinguni hakuna kitu hiyo.
Mbinguni hakuna viumbe wengine zaidi ya binadamu?
Mtu na Malaika tofauti Yao ni ndogo sana.
Ni ipi?
Ok, unachosema hapa ni kuwa mwili wa ndotoni pia una hisia. Kwenye ndoto umeshawahi kuota upo maliwatoni? Vipi kuhusu ndoto pevu?
 
Dalili mojawapo ya uzezeta na afya ya akili ni kuwa na mawazo ya kuinjoi maisha ya dhahania/mbinguni ili hali ya huku duniani yamekutoa jasho/kushinda
Dini ni utapeli
 
Sasa ukiota unakojoa kitandani ukakojolea kitanda Cha mwilini,

Hujiulizi kwanini hujaloanisha huko ndotoni?

Ndipo ujue ndoto zipo aina tatu.

1. Zipo ndoto ambazo mwili unaota Kwa kupeleka taarifa kwenye nafsi. Ni matukio kana uliyoeleza, umelala njaa, unaota unakula chakula kitamu, umebanwa mkono, unaota unakojoa.

2. Zipo ndoto au matukio halisi Roho hufanya, NAFSI inadaka na kupeleka kumbukumbu kwenye akili Kisha unakumbuka .

Hizo ndio ndoto nazoelezea, ni tukio la mtu halisi mwenye mwili wa Roho. Unaona halisi kabisa unatoka mwilini unaenda huko na huko.
 
Sasa ukiota unakojoa kitandani ukakojolea kitanda Cha mwilini,

Hujiulizi kwanini hujaloanisha huko ndotoni?

Ndipo ujue ndoto zipo aina tatu.
Unajuaje kuwa huko ndotoni hakujalowa?
Halafu mkuu, unachagua maswali ya kujibu mengine unayakwepa mbona.
 
Kwani kula ni Hadi uwe na njaa?

Njaa ni hisia tu,

Mgongwa mahututi aliyepoteza uwezo wa kuhisi njaa, kwanini alishwa chakula?
Kuna nyie naona hamvielewi. Njaa ni alarm ya mwili kuwa kuna ufungufu wa nishati inayohitajika kwa ajili ya utendaji wa kawaida wa mwili, then ndipo binadamu anakula. Hauwezi kula kama huna njaa, huo ndo ukweli, kwa sababu chakula kiusingi siyo kiburudisho, ni hitaji la msingi la binadamu ili kuishi. Hiyo ladha nzuri unayoihisi ukiwa unakula ni namna mwili umetengenezwa ili kukufanya uhamasike kula.

Mtu aliyepoteza uwezo wa kuhisi njaa analishwa ili asife, kwa sababu inajulikana wazi kuwa kama hahisi njaa, hatokula na asipokula atakufa. Hivyo inabidi alishwe kwa nguvu ili asife. Na huo ni ushahidi mwingine kuwa binadamu wanakula chakula kwa sababu ya njaa, bila njaa binadamu hawezi kula.
 
Ili kufurahia matunda na vyakula alivyoandaa Mungu kwa ajili ya watakatifu wake.
Yohana 6:35
[35]Yesu akawaambia, Mimi ndimi chakula cha uzima; yeye ajaye kwangu hataona njaa kabisa, naye aniaminiye hataona kiu kamwe.
Ina maana kweli pamoja na sifa zote za mbinguni starehe zake ni kula mafenesi na maparachichi?

Pili, ni lipi andiko linaloeleza maisha ya mbinguni yalivyo kama mnavyoyaelezea hapa?
 
Si Kweli,

Watu wanakula Ili waishi.

Ndipo ujue,

Kwa kuwa Mbinguni Pana maisha milele ,

Kula ni muhimu ingawa hakuna njaa.
 
Si Kweli,

Watu wanakula Ili waishi.

Ndipo ujue,

Kwa kuwa Mbinguni Pana maisha milele ,

Kula ni muhimu ingawa hakuna njaa.
Sasa unabisha nini kama unakubali binadamu wanakula ili waishi.? Na huo umuhimu wa kula pasipokuwepo na njaa unatoka wapi? Au mbinguni pia usipokula unakufa?
 
Mengi tu, we rudi pitia kama si tabu. Ila tukiachana na hayo mengine, jibu hili la unajuaje kuwa huko ndotoni hakujalowa?
Pangeloa ungeona au ungeota unaenda kuandika godoro la huko ndotoni.

Mwili Ule ni WA kiroho, na mwili wa nyama una namna yake.

Ukiota unakojoa, mama haraka, Roho haikojoi, ni mwili.

Tofautisha hayo usijepata Aibu Kwa mkeo, maana hatokuelewa.
 
Sasa unabisha nini kama unakubali binadamu wanakula ili waishi.? Na huo umuhimu wa kula pasipokuwepo na njaa unatoka wapi? Au mbinguni pia usipokula unakufa?
Kula kunaendelea hata baada ya kufa.

Kwani Mbinguni unaenda bila kufa ndugu?

Tumbo la mwili lisipokuwepo, halizuii tumbo la Roho kuendelea kula na kunywa. Kinachobadilika ni mfumo na Utaratibu wa kula na kunywa katika mwili wa Roho.

Umeelewa?
 
Kula kunaendelea hata baada ya kufa.

Kwani Mbinguni unaenda bila kufa ndugu?

Tumbo la mwili lisipokuwepo, halizuii tumbo la Roho kuendelea kula na kunywa. Kinachobadilika ni mfumo na Utaratibu wa kula na kunywa katika mwili wa Roho.

Umeelewa?
Leta japo mstari mmoja wa biblia unaothibitisha usemalo...
 
Pangeloa ungeona au ungeota unaenda kuandika godoro la huko ndotoni.
Embu niambie, umeshawahi kuota jambo gani likakamilika ndotoni? Jambo moja tu.
 
Ishi kwa furaha duniani ili ukifa nafsi yako iwe na amani, hiyo ndiyo furaha . Eti unaishi duniani kama Mganga wa kienyeji ukitarajia furaha ambayo ni ya kufikirika
 
Ww badala uhubili hizo hadhithi zako umefikia kukashifu na kutukana dini zingine zisizo kuhusu.
Au kigezo cha kuingia kwenye hiyo mbingu yenu ni kutukana na kuwakashifu waisilam?
 
Embu niambie, umeshawahi kuota jambo gani likakamilika ndotoni? Jambo moja tu.
Gari yangu ya kwanza niliyonunua, nimeiota tangu nlilipokywa mdogo,

Niliona tukio Hilo halisi mara nyingi na likajirudia.

Siku niliyonunua gari na kuanza kuendesha, picha ya ndoto Ile Ile ilijirudia na nilkajua kumbe ndoto Ile ilikuwa halisi, muda tu wa rohoni na mwilini ndio tofauti.
 
Ile uliyoinunua ndotoni ulirudi ukaikosa?
 
Ww badala uhubili hizo hadhithi zako umefikia kukashifu na kutukana dini zingine zisizo kuhusu.
Au kigezo cha kuingia kwenye hiyo mbingu yenu ni kutukana na kuwakashifu waisilam?
Mbingu ya kupewa mabikra 72 uliona wapi?

Stuka, hiyo Si mbingu,

Mbingu halisi IPO, nakuambia UKWELI, situkani dini hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…