Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Mimi ndio ndoto yenyewe.Ile uliyoinunua ndotoni ulirudi ukaikosa?
Mashetani yanawaza abortion kama ni jambo la kawaida.Abortion was better than your birth.
Afadhali ungetolewa mimba ufe kabisa kuliko kuzaliwa kwako.
OOh, ok, So unachosema ulinunua gari mara mbili au ya kwenye ndoto haikuwa gari kweli?Mimi ndio ndoto yenyewe.
Mtu ni ROHO, anayo NAFSI, na anaishi ndani ya MWILI.
Sasa mbona weupe weupe watupu? Sisi watoto wa kenge uwakilishi wetu kwenye picha haupo.Oya cheki mbinguni palivyo pazuri. Yani tutakuwa tunakaa zetu tu vimbwetani kusoma novel na kuimba kwaya. ๐คฃView attachment 3201504
๐๐๐๐ Aisee ntapaliwa kwaKwanini kusifu na kuabudu ni raha kuliko kuwa na mke mzuri?
Usicheke mkuu, nilitaka atuambie hiyo raha anaidefine vipi ila naona imeshindikana tumeshahamia kwenye ndoto sasa.๐๐๐๐ Aisee ntapaliwa kwa
kucheka!
Shetani hayupo.Mashetani yanawaza abortion kama ni jambo la kawaida.
Nimesema gari nilinunua katika mwili,OOh, ok, So unachosema ulinunua gari mara mbili au ya kwenye ndoto haikuwa gari kweli?
Kazini kwako kuna kazi leo.Usicheke mkuu, nilitaka atuambie hiyo raha anaidefine vipi ila naona imeshindikana tumeshahamia kwenye ndoto sasa.
Chochote chenye Jina kipo.Shetani hayupo.
Wapumbavu kama ninyi mnaowaza maisha ya kufikirika mbinguni, Afadhali msingezaliwa hapa duniani.
Kuzaliwa kwenu hapa duniani hakuna faida. Bora mngetolewa mimba mfe kabisa. Muishi huko mbinguni.
Dragons ๐ watemao moto midomoni mwao wapo?Chochote chenye Jina kipo.
Sasa na ww hiyo mbigu unayo ihubiri hapa una ushahidi gani kama ipo,au ulishwa wahi kuiona?Mbingu ya kupewa mabikra 72 uliona wapi?
Stuka, hiyo Si mbingu,
Mbingu halisi IPO, nakuambia UKWELI, situkani dini hapa.
Yawezekana nyakati hizi unapitia changamoto fulani, nakuombea usibaki kwenye hilo sononeko bali mtazame Mungu ukajipe tumaini kwake na mambo yako yatakuwa sawa.
Kikubwa mwanadamu pale alipo chagua kutomsikiliza Mungu na kuamua kufuata njia zake, Mungu alimpa uhuru wa kujiamulia mambo yake.
Shinda ni kwamba duniani kuna pande mbili zenye nguvu ya kwanza inaitwa NURU na ya pili inaitwa GIZA.
Kwa hiyo mwanadamu unaweza ukawa unapitia changamoto fulani kumbe ni upande wa GIZA unakutikisa ili utoke kwenye mstari mnyoofu.
Kataa kutumikia upande wa GIZA na uwe na tumaini kwa Mwenyezi Mungu ambaye kaandaa mazingira mazuri mbinguni kwa wote watakaoushinda upande wa GIZA na machukizo.
Jipe tumaini la kuwa miongoni mwa watakatifu watakao kuwemo kwenye Dunia mpya ijayo.
View attachment 3201461
View attachment 3201462
View attachment 3201463
View attachment 3201464
Kikubwa upande wa NURU uwe njia zako zilizo njema.
Yesu Kristo ndiye NURU ya ulimwengu na ndiye mlango wa kuingia mbinguni.
Ucha kuufanya moyo wako mgumu na ukakataa kujifunza kuhusu Yesu Kristo.
Ukimkaribisha Yesu katika maisha yako HOFU YA GIZA haitakuandama. Utaibuka mshindi na kuishinda Zinaa na uasherati, Pombe na Ulevi, Ushoga, Uchawi, mizimu, uabudu sanamu (uchawa), Mauaji, tamaa ya madaraka, hofu za kidini, dharau, matusi, masengenyo n.k
Tumwamini Yesu ili mapito yetu hapa duniani yawe ya nuru (utakatifu) na mwisho tukifa atupokee mbinguni kwa matarumbeta.
Yohana 14:6
[6]Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
View attachment 3201483
Dragon wapo na vibwengo wapo.Dragons ๐ watemao moto midomoni mwao wapo?
Vibwengo wapo?
Si wana majina pia?
Ndotoni uliendesha gari au uliona ukiendesha gari? Nataka tu nielewe.Nimesema gari nilinunua katika mwili,
Ndotoni niliona nikiendesha gari, sikuona habari ya kununua gari.
Umeelewa?
Mbingu ni halisi Si hadithi.Sasa na ww hiyo mbigu unayo ihubiri hapa una ushahidi gani kama ipo,au ulishwa wahi kuiona?
Kama ww ulivyo na imani na hiyo mbigu yako ambayo hujawahi kuiona ,basi na waisilam wana imani yao kuhusu hiyo mbingu yao ambayo na wao hawajawahi kuiona.
Hivyo kila mtu ahamini kile anacho kiona ni sahihi kwake hakuna haja ya kukashifiana.
Niiiendesha gari kabisa, wakati huo katika mwili time Ile, niko mtoto Sina gari , sijui kuendesha, Sina lesseni nk nkNdotoni uliendesha gari au uliona ukiendesha gari? Nataka tu nielewe.
โAmin, nawaambia, sitakunywa tena katika uzao wa mzabibu, hadi siku ile nitakapounywa mpya katika Ufalme wa Munguโ (Marko 14:25).Leta japo mstari mmoja wa biblia unaothibitisha usemalo...