korino
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,004
- 666
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Now you're talking mkuuuKwenye swala la urafiki na watoto wa kike hilo swala lilishanishinda toka enzi ya balehe yangu, ukiona nipo karibu na mtoto wa kike ujue basi ni ex, ila anapotential flani and that why nipo nae karibu au laah ndio anatafutiwa mazingira ya kuliwa , naomba niweke wazi hapa nazungumzia urafiki wa karibu kupitiliza na msichana ambae sio mpenzi wako, hamnaga kitu kama hiki kwenye maisha yangu, ukaribu wa kikazi & ujirani & family it's okay ila ule urafiki mbaka mtu akija anajua ni wapenzi kumbe ni mshika pembe tu kwangu haupo.
Back to the topic,
Myself na prefer friends with benefits relationship but no strings attached.
PERIOD.
😀😀😀😀😀 ngoja namimi nisubilie jibu hapa.
for sure...Ila hizi mbinu Ni hatari coz zinaweza kuvunja uhusiano wenu.Unatakiwa uangalie mood ya mtu kwanza ndo uanze ku-apply hizo mbinu
hivi mnawachukuliaje hawa wadada?? 😂 shauri yenu...😂“I really want to be alone with you, would you like to come with me to my house”