Kwenye swala la urafiki na watoto wa kike hilo swala lilishanishinda toka enzi ya balehe yangu, ukiona nipo karibu na mtoto wa kike ujue basi ni ex, ila anapotential flani and that why nipo nae karibu au laah ndio anatafutiwa mazingira ya kuliwa , naomba niweke wazi hapa nazungumzia urafiki wa karibu kupitiliza na msichana ambae sio mpenzi wako, hamnaga kitu kama hiki kwenye maisha yangu, ukaribu wa kikazi & ujirani & family it's okay ila ule urafiki mbaka mtu akija anajua ni wapenzi kumbe ni mshika pembe tu kwangu haupo.
Back to the topic,
Myself na prefer friends with benefits relationship but no strings attached.
PERIOD.