Mbinu 6 za kumpata mwanamke JF

Mbinu 6 za kumpata mwanamke JF

Siku nikijua unafake lazima nikuabisheee .

Alafu mm ndo maaana nimeamua kuolewa na mtu ambaye amejiweka open siyo hawa wa kujificha nyuma ya keybord

Unaweza kutana na mwanaume sijui yupoje hafanani na comment wala thread zakee aisee unaishiwa pozi.
Ndo Maana hata Mimi Sioendi napenda Kama nilivyo....Tena huwa Vingine Vizuri siviweki ili aje ni msuprise!
 
Aiseee kuna mtu mmoja hapa Id yake ni balaaa nikajua ewaaaaaaah

Uwiiii siku namuona akiiii alikula kibut cha mbavuu sikuamin yani ni kibwengo plus upopomaaaa

Itakuwa hizi ndo mbinu zakeeee kabisaa loooh na mm nasema tu polee yalee hakuna namna mm nisingeweza msura kama indiketa za toroli.
kwema[emoji2] [emoji2]
 
wakuu mameni naomba tuanzie Nazi hapahapa
wataalamu wanasema anzia hapohapo,ndege hao wamekuja kwenye ulezi .......
 
na pay attention kitu kimoja wakuu,ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu
 
Back
Top Bottom