Mbinu chafu za Matajiri wa viwanda wanavyoturudisha kwenye umaskini baada ya kulindwa Na sera za biashara kukosa ushindani

Mbinu chafu za Matajiri wa viwanda wanavyoturudisha kwenye umaskini baada ya kulindwa Na sera za biashara kukosa ushindani

Nafikiri mfano mzuri wa sukari inatakiwa JKT walime mashamba ya miwa na Serikali iwape mkopo wanunue machine za kisasa za kuzalisha sukari nakwambia huu mchezo mchafu wa wafanyabiashara utaisha tu. Kiwanda kiendeshwe kijeshi uzalishaji ucku na mchana hakuna kupumuzisha machine .
Ujamaa ulishisndwa kwani ulikuwa na mtazamo kama huu.
 
Kuna mambo yanasikitisha sana...

Mfano viwanda vya mafuta ya kula...
 
Uchafu wa hizo mbinu ni nini?Iko hivi.demand ndio kila kitu.Hata wasipokaa pamoja wakapanga.Mtu hawezi kuzalisha mzigo kama hautoki labda kama ni watoto ndiosheria zina badilika ila kwenye biashara nguvu za soko zinaamua.Sera mbovu na gharama kubwa za uzalishaji zinaathiri soko vile vile so ukitaka kujua tatizo ni nini anza na wewe mwenywe je Una uwezo wa kununua saruji kwa bei gani?Je hio bei itamlipa mzalishaji?Kama jibu ni hapana basi wewe sio demand na hawezi kuzalisha kwa sababu yako.Itabidi afunge kiwanda tu.
Nimekuelewa Sana, kumbe kupungua Kwa wateja kutokana Na ukata kunaweza kufanya uzalishaji wa kuvizia soko pia kiwanda kufilisika. Sera za unyanyanyi kupitia TRA .police kuwa Na njaa Kali Kwa maroli yanayosafirisha bidhaa nayo inachangia, Tanesco kukata Kata umeme Na tusiambiwe kuwa gesi adimu kinyerezi nayo noma, bado watu wamazingira kulazimisha makosa ili upingwe faini ya haja. Ama Kweli nilikuwa nawalaumu bure kumbe wanakumbana Na Mikasa hatari
 
Back
Top Bottom