Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfano mtu mlishatengana alafu UKa move on kuendelea na maisha lakini ukaanza Ku HEAL Ila sasa baada ya mda anakuwa anakutafuta tafuta utatumia MBINU GANI ILI aondoke kwenye maisha yako?
wakizid kukutafuta watukanie mama zao ukiona bado waambie tukutane k/koo ww ukimuona tu muitie mwizi utakuja kunipa shukran yang baadaeMfano mtu mlishatengana alafu UKa move on kuendelea na maisha lakini ukaanza Ku HEAL Ila sasa baada ya mda anakuwa anakutafuta tafuta utatumia MBINU GANI ILI aondoke kwenye maisha yako?
Muombe hela,,,awe wakike au wakiume we muombe helaMfano mtu mlishatengana alafu UKa move on kuendelea na maisha lakini ukaanza Ku HEAL Ila sasa baada ya mda anakuwa anakutafuta tafuta utatumia MBINU GANI ILI aondoke kwenye maisha yako?
Nashindwa kabisa kumuelewa ananifuatilia sanaMsamehe, afu mchukulie kawaida, akilini mchukulie haraaam, kuonana nae na kuwasiliana nae ni dhambi.
Tumia technic ya Muslims juu ya nguruwe, as akili ukishaicondition kuwa ni haram, hata akuvutie vipi, akushawishi vipi ni haram.
Bado hujaheal, unamtakaNashindwa kabisa kumuelewa ananifuatilia sana
Mbona muslim wanamfatilia sana kitimoto hawajawahi acha kumsimangaMsamehe, afu mchukulie kawaida, akilini mchukulie haraaam, kuonana nae na kuwasiliana nae ni dhambi.
Tumia technic ya Muslims juu ya nguruwe, as akili ukishaicondition kuwa ni haram, hata akuvutie vipi, akushawishi vipi ni haram.
Na haina kikomo raha iliyoje unaclick tu mambo yanajipaSasa umewekewa blacklist au block contacts ya kaz gani kwenye simu yako?