Wakuu, leo nilikua nimelala chini ndan chumbani. Kushtuka naona nyoka mdogo karibu na kichwa changu ikabidi nimuue.
Lakin pia kijana ashawai ua nyoka kama wawili mlangoni mwingine upenuni.
Nipeni mbinu za kupambana na hawa viumbe ziwe za asili za jadi au za kisasa!!
1. Kwanza unefanya kosa kuianyoka bila kibali cha maliasili. Mpaka hapo unatakiwa ushtakiwe.Wakuu, leo nilikua nimelala chini ndan chumbani. Kushtuka naona nyoka mdogo karibu na kichwa changu ikabidi nimuue.
Lakin pia kijana ashawai ua nyoka kama wawili mlangoni mwingine upenuni.
Nipeni mbinu za kupambana na hawa viumbe ziwe za asili za jadi au za kisasa!!
Samli pia ni repellantNaona watu wanamwagia mafuta ya taa yaliyochanganywa na diesel kidogo kuzunguka nyumba au oil chafu ukiweza pia nyoka hawapendi harufu ya hivi vitu kabisaa..
OK sawa nilikua sijui..Samli pia ni repellant
Inaitwaje hiyo ya furnigation1. Kwanza unefanya kosa kuianyoka bila kibali cha maliasili. Mpaka hapo unatakiwa ushtakiwe.
2.Dawa zipi nyingi tu, za kyenyeji na na za kizungu. Kuna dawa huwa ya ku famigare hutumika sana kwa ajili ya kufamigate kuzungushia mahema kwa watalii wawapo mapolini ili kukinga nyoka wasikaribie hizo hema
Nikipata hela nitakuja mjiniAcha kuishi porini mkuu
Nitatafuta oil chafuSamli pia ni repellant
heeeh moshi sasa likiisha moshi si unatoweka au moshi utanuka mwezi mzimaChoma matairi ya pikpik au gari
Kwa kuyapata haya majani sada
Piga nyeto mlangoni usiku ila asikuone mtu pale ukimwaga kuna mamilion ya walinzi wanakuwa mlangoni nyoka akitokea atajua kuna watu so anasepa kama nyumba ina milango miwili ya kutokea kumbuka kupiga mara mbili....Wakuu, leo nilikua nimelala chini ndan chumbani. Kushtuka naona nyoka mdogo karibu na kichwa changu ikabidi nimuue.
Lakin pia kijana ashawai ua nyoka kama wawili mlangoni mwingine upenuni.
Nipeni mbinu za kupambana na hawa viumbe ziwe za asili za jadi au za kisasa!!
Mi sikujua kama kuna watu wa hovyo kama wwPiga nyeto mlangoni usiku ila asikuone mtu pale ukimwaga kuna mamilion ya walinzi wanakuwa mlangoni nyoka akitokea atajua kuna watu so anasepa kama nyumba ina milango miwili ya kutokea kumbuka kupiga mara mbili....
Unapulizia ukuta auRungu