Mbinu gani ya kuzuia Nyoka wasiingie nyumbani au wasisogee karibu na nyumba? Kuna dawa yoyote ya kufukuza?

Mbinu gani ya kuzuia Nyoka wasiingie nyumbani au wasisogee karibu na nyumba? Kuna dawa yoyote ya kufukuza?

Wakuu, leo nilikua nimelala chini ndan chumbani. Kushtuka naona nyoka mdogo karibu na kichwa changu ikabidi nimuue.

Lakin pia kijana ashawai ua nyoka kama wawili mlangoni mwingine upenuni.

Nipeni mbinu za kupambana na hawa viumbe ziwe za asili za jadi au za kisasa!!
1721475588204.png


1721475701777.png
 
Wakuu, leo nilikua nimelala chini ndan chumbani. Kushtuka naona nyoka mdogo karibu na kichwa changu ikabidi nimuue.

Lakin pia kijana ashawai ua nyoka kama wawili mlangoni mwingine upenuni.

Nipeni mbinu za kupambana na hawa viumbe ziwe za asili za jadi au za kisasa!!
1. Kwanza unefanya kosa kuianyoka bila kibali cha maliasili. Mpaka hapo unatakiwa ushtakiwe.

2.Dawa zipi nyingi tu, za kyenyeji na na za kizungu. Kuna dawa huwa ya ku famigare hutumika sana kwa ajili ya kufamigate kuzungushia mahema kwa watalii wawapo mapolini ili kukinga nyoka wasikaribie hizo hema
 
1. Kwanza unefanya kosa kuianyoka bila kibali cha maliasili. Mpaka hapo unatakiwa ushtakiwe.

2.Dawa zipi nyingi tu, za kyenyeji na na za kizungu. Kuna dawa huwa ya ku famigare hutumika sana kwa ajili ya kufamigate kuzungushia mahema kwa watalii wawapo mapolini ili kukinga nyoka wasikaribie hizo hema
Inaitwaje hiyo ya furnigation
??
 
Wakuu, leo nilikua nimelala chini ndan chumbani. Kushtuka naona nyoka mdogo karibu na kichwa changu ikabidi nimuue.

Lakin pia kijana ashawai ua nyoka kama wawili mlangoni mwingine upenuni.

Nipeni mbinu za kupambana na hawa viumbe ziwe za asili za jadi au za kisasa!!
Piga nyeto mlangoni usiku ila asikuone mtu pale ukimwaga kuna mamilion ya walinzi wanakuwa mlangoni nyoka akitokea atajua kuna watu so anasepa kama nyumba ina milango miwili ya kutokea kumbuka kupiga mara mbili....
 
Back
Top Bottom