Mbinu kali za kibaharia za kumuumiza adui au mbaya wako

Mbinu kali za kibaharia za kumuumiza adui au mbaya wako

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Usikubali kushindwa kirahisi, Maisha ni vita nianze namna hii. Katika harakati zangu za kupigana vita mbalimbali hasa katika jamii nyingi za kuonewa na kudhulumiwa, ilinifanya nifikirie sana namna ya kulipa visasi kwa namna mbalimbali mfano nimeshaitumia mbinu hii mtambuka.

1. Kutoka kimapenzi na mke wa adui nilivunja ndoa kbsa.
2. Kutoka kimapenzi na Mtoto wa adui yangu nikashinda zaidi.
3. kutoka kimapenzi na mdogo au Dada wa Adui yangu nilishinda vibaya sana.
4. Kutoka kimapenzi na Mpenzi au Mchumba wa Adui yangu hapa nilishinda knock out.
5. Kutoka kimapenzi na jirani wa Adui yangu nikipata ushindi wa cap historically.
6. Kutoka kimapenzi na Mfanyakazi wa Adui yangu hapa nilimdharirisha sana.
7. Kutoka kimapenzi na wanafunzi wa maadui zangu hapa nilishinda hadi vita mpya zote.
8. Kutoka kimapenzi na best au rafiki wa Adui yangu hapa niliua pande zote.
9. Kutoka kimapenzi na Mama mdogo, Shangazi na mamkubwa wa Adui nilifanya maajabu ya kupigiwa magoti na abc kadhaa.

Ongezeni mbinu zenu za kimedani za ubaharia na nyie
Naishia hapa maana orodha ni ndefu ntarudi kwenye comments.

Wadiz a.k.a Master of The Eagle Craw.
 
Sidhani kama ni kitu Cha kujivunia??, ushajiuliza familia yako watakuchuliaje siku wakijua uhalisia wako??, yaani mtu wanaemtegemea ni zaidi ya .....
 
Aisee. Wewe ni mkatili mno. Una roho mbaya isiyoweza kusamehe.
Kweli kabisa hujakosea usiponiomba msamaha wa dhati sikusamehi hata ukifa naendelea na bifu sitaki upumbavu na waonevu na watu wa dhuluma
 
Siku ukipata 'adui' wa kike utuletee mrejesho.
Adui wa kike kuna mbinu nilitumia niligawa namba zake akapatikana nikamrekodi na nikatokea muda analiwa nikamuona uchi na nilirekodi akiniona ntakuja na hiki kisa Dunia itaelea angani
 
Mbinu za kupambana na adui yako ni kumpa mawazo ya kisaikojia,,

Nlikuwa na ugomvi na Jirani yangu mmoja,,hatuna salamu wala kusemeshana ,,sio yeye wala jamaa zake humo nyumbani kwake,

Siku nikasema ngoja nimpe jamaa mawazo ya kisaikojia..

Nikaleta mafundi pale home wakawa wanapima eneo lililobaki najenga apartment za kupangisha.

Tukawa tunaongea Kwa sauti jinsi kufanya Ujenzi wa hizo apartment.

Mafundi wakaanza kupima na kuweka tathimini ya Ujenzi..
Ilikuwa heka heka tupu muda huo,

Jirani walitoka nyumba nzima wanashangaa.,,
nikajifanya kama siwajali.
Jamaa alikuwa na dada zake warembo kweli kweli,
Pisi kali haswa.

Baadae nikaleta mchanga gari 2 pamoja na kokoto.
Kwamba naanza Ujenzi siku ile,,,

Jirani alikonda sn kwa mawazo hana raha week nzima...
Baadae nikasema kibali cha Ujenzi kinasumbuwa.,

Nikaamua kujenga ukuta tu...
Nitamaliza apartments baadae,

Mbinu yangu hii ilifanikiwa 100%,,
Kwani dada zake jamaa na mkewe walianza ukaribu na Mimi..
Kwa kujuwa nina kibunda kikubwa cha noti kimenitembelea.

Wakaanza Mara salamu ,,
mara tabasamu ,,
Nikajitafunia papuchi mkewe jirani ,
na dada zake 2..bila kujuwana....
 
Mbinu za kupambana na adui yako ni kumpa mawazo ya kisaikojia,,

Nlikuwa na ugomvi na Jirani yangu mmoja,,hatuna salamu wala kusemeshana ,,sio yeye wala jamaa zake humo nyumbani kwake,

Siku nikasema ngoja nimpe jamaa mawazo ya kisaikojia..

Nikaleta mafundi pale home wakawa wanapima eneo lililobaki najenga apartment za kupangisha.

Tukawa tunaongea Kwa sauti jinsi kufanya Ujenzi wa hizo apartment.

Mafundi wakaanza kupima na kuweka tathimini ya Ujenzi..
Ilikuwa heka heka tupu muda huo,

Jirani walitoka nyumba nzima wanshangaa.,,
nikajifanya kama siwajali.
Jamaa alikuwa na dada zake warembo kweli kweli,

Baadae nikaleta mchanga gari 2 pamoja na kokoto.
Kwamba naanza Ujenzi siku ile,,,

Jirani alikonda sn kwa mawazo hana raha week nzima...
Baadae nikasema kibali cha Ujenzi kinasumbuwa.,

Nikaamua kujenga ukuta tu...

Mbinu yangu hii ilifanikiwa 100%,,
Kwani dada zake jamaa na mkewe walianza ukaribu na Mimi..
Kwa kujuwa nina kibunda kikubwa cha noti.

Wakaanza Mara salamu ,,
mara tabasamu ,,
Nikajitafunia papuchi mkewe jirani ,
na dada zake 2..bila kujuwana....
Nimeipenda hio akili mingi nguvu kidogo yaani ubaharia zaidi
 
Back
Top Bottom