The Lost Boy
JF-Expert Member
- Nov 24, 2020
- 248
- 311
Mwaka 2012 saa tatu usiku hivi, nikitembea pale Zakhem nikitafuta daladala za Chamazi. Na ule uharaka wa kutembea ghafla nikajikuta kama nimemkanyaga bwana mmoja (alijikanyagisha sikujua).
Basi akanishika begani huku akitweta kwa ghadhabu kuu "kwanini unanikanyaga bro, wajikuta nani labda... " muda huo ajifanya kama kulipiza kisa kwa kunikanyaga mguuni mwangu.
Nikaona mambo yasiwe mengi nikawa namuomba radhi yaishe kiuungwana.
Lol, sikujua ni matapeli, muda ule natafuta suluhu, kwa nyuma alikwepo mwingine ambaye ndiye alochomoa kiswasadu changu hali sina habari
Alokabwa ndio kaiba
Ulitapeliwaje mjini?
Basi akanishika begani huku akitweta kwa ghadhabu kuu "kwanini unanikanyaga bro, wajikuta nani labda... " muda huo ajifanya kama kulipiza kisa kwa kunikanyaga mguuni mwangu.
Nikaona mambo yasiwe mengi nikawa namuomba radhi yaishe kiuungwana.
Lol, sikujua ni matapeli, muda ule natafuta suluhu, kwa nyuma alikwepo mwingine ambaye ndiye alochomoa kiswasadu changu hali sina habari
Alokabwa ndio kaiba
Ulitapeliwaje mjini?