Mbinu mbalimbali wanazotumia matapeli kutapeli watu

Mbinu mbalimbali wanazotumia matapeli kutapeli watu

Iliwahi kunitokea hivyo soko la kilombero, Arusha.... Alipokuja mwenzake kuanza kuniletea fujo ndio akili ikashtuka wanataka kuniibia maana hata sikua nimemkanyaga yule wa kwanza nilimkwepa ila alikua ananilazimisha eti nimemkanyaga na nilimwambia sorry ila alionekana anataka ugomvi uwe mkubwa....

Nilijikuta napata tu ujasiri wa ghafla nikawaambia waache ujinga nikaondoka nikawaacha wamesimama hapo japo moyoni nilikua naogopa.
Wajinga wale wakasababisha nirudi home kwa woga hata sikununua kilichonipeleka huko.
 
Iliwahi kunitokea hivyo soko la kilombero, Arusha.... Alipokuja mwenzake kuanza kuniletea fujo ndio akili ikashtuka wanataka kuniibia maana hata sikua nimemkanyaga yule wa kwanza nilimkwepa ila alikua ananilazimisha eti nimemkanyaga na nilimwambia sorry ila alionekana anataka ugomvi uwe mkubwa....

Nilijikuta napata tu ujasiri wa ghafla nikawaambia waache ujinga nikaondoka nikawaacha wamesimama hapo japo moyoni nilikua naogopa.
Wajinga wale wakasababisha nirudi home kwa woga hata sikununua kilichonipeleka huko.
Mzee noma sana. Tena isiwe ndio unaingia mjini umetoka kijijini unaweza ukatoa haja kwa Hofu
 
mbona hayafanani
Hizi kesi zinapatikana kwenye Business Law maana ingekua ni bland ya bidhaa ni kosa kisheria mfano Kuna kesi iliibuka kati ya kampuni ya Nokia vs Nokla ilikua ni utata ila Nokia alishinda
 
Back
Top Bottom