bongodili tele
JF-Expert Member
- Jun 8, 2024
- 1,520
- 3,022
Wapo wengi tu hadi hawa wanaojitangaza kuuza vitu kwa mnada eti vimechukuliwa kwa wadaiwa sugu mfano simu ni wizi mtupu zote ni mbovu zile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naonaga pia adidas jina lao linavotumiwa abbidas, abibas, n.kHizi kesi zinapatikana kwenye Business Law maana ingekua ni bland ya bidhaa ni kosa kisheria mfano Kuna kesi iliibuka kati ya kampuni ya Nokia vs Nokla ilikua ni utata ila Nokia alishinda
Hakusema "shkamoo braza"...??Sikutapeliwa ila nilimuwashia moto mpaka leo nikifika huwa ni heshima.
Ipo hivi!
Nimesimama sitendi ya Nyagezi zinaposimama daladala wakaja fala wawili wameshiba wakanishika wananambia nimeruka ukuta! Hapo hapo nikajichomoa kwenye mikono yao nikasimama kama vile nataka kucheza kareti " nikamzaba mmoja ngumi ya bega bwana wee jamaa alipepesuka huku nasindikiza na matusi ya nguoni! Mwenzie kuona hivyo akakimbia!
Nikasikia wale dreva tex wanasema bro utaua! Kumbe wakikushika vile wanakuibia kwa namna wanajua wao
Siku nyingine usikubali kuliwa kinyeo kabla haujalipwaNilipoliwa kinyeo na kuambiwa hela ataituma kwenye MPESA!
imeisha hiyo!
Cc: Poor Brain Yohimbe bark Mzee wa kupambania Extrovert dronedrake cocastic
Mungu ni mwema hakusemaHakusema "shkamoo braza"...??
😂😂😂🤣🤣 nimekomaSiku nyingine usikubali kuliwa kinyeo kabla haujalipwa
One for the money two for the show
Tutambulishane ndugu yangu.😁😁😁😁😁
Tulia wajina
Kuna ubaya gani kutumia majina mawali.
Hapana tuishi nalo tu mkuu, sisi sote ni ndugu.Nimebadilisha bwana The lost. Nisitapeli Jina lako