The Lost Boy
JF-Expert Member
- Nov 24, 2020
- 248
- 311
ungeunga mpaka Kitonga, Kitonga to Chanikauzitafuta daladala za chanika
Nilitapeliwa ukweni😢Usiku saa tatu hivi, nikiwa natembea pale mbande kuzitafuta daladala za chanika. Na ule uharaka wa kutembea ghafla nikajikuta kama nimemkanyaga bwana mmoja (alijikanyagisha nilijua baadae).
Basi akanishika mkono na kuanza kufoka "kwanini unanikanyaga bro, wajikuta we sharobaro sana eti, ustaarabu gani" hapo hapo alikuwa anafanya kama kulipiza kisa kwa kunikanyaga mguuni kwangu
Basi mimi nikaona mambo yasiwe mengi nikawa namuomba tu radhi yaishe kiuungwana.
Lol, sikujua kwamba walikuwa matapeli, mda ule tunazozana kusuluhisha, kwa nyuma kumbe alikwepo mwingine ambaye ndiye alichomoa simu yangu pasi mimi kutambua.
Ulitapeliwaje? Dondosha Mbinu tuwasaidie wadau wengine
Utapeli nayo ni kazi😄Wewe ujatapeliwa ila umeibiwa
Hahahaha mkuu nimeogopa au ndiyo nimejipata.Itakuwa pacha wako....usikatae ndugu
Umechelewa sana kugundua me siku ya kwanza walinifanyia hivyo... Ile mmoja kanichomoa tu nyuma nikamdaka. Nikaandaa ngumi mkononi. Nikamwambia naomba ulichochukua kabla sijakuwasha. Alirudisha fasta.Usiku saa tatu hivi, nikiwa natembea pale mbande kuzitafuta daladala za chanika. Na ule uharaka wa kutembea ghafla nikajikuta kama nimemkanyaga bwana mmoja (alijikanyagisha nilijua baadae).
Basi akanishika huku akitweta "kwanini unanikanyaga bro, wajikuta nani eti, ustaarabu gani" mda huo ajifanya kama kulipiza kisa kwa kunikanyaga mguuni mwangu
Nikaona mambo yasiwe mengi nikawa namuomba radhi yaishe kiuungwana.
Lol, sikujua walikuwa matapeli, mda ule tunazozana kusuluhisha, kwa nyuma alikwepo mwingine ambaye ndiye alichomoa simu yangu pasi mimi kutambua.
Ulitapeliwaje? Dondosha Mbinu tuwasaidie wadau wengine
Kwanza me ni expert member, yeye ni senior member. Aniheshimu.Itakuwa pacha wako....usikatae ndugu
Nilishapigwa elfu 10 yangu pale Kariakoo kwa mbinu hii hii 2010.Usiku saa tatu hivi, nikiwa natembea pale mbande kuzitafuta daladala za chanika. Na ule uharaka wa kutembea ghafla nikajikuta kama nimemkanyaga bwana mmoja (alijikanyagisha nilijua baadae).
Basi akanishika huku akitweta "kwanini unanikanyaga bro, wajikuta nani eti, ustaarabu gani" mda huo ajifanya kama kulipiza kisa kwa kunikanyaga mguuni mwangu
Nikaona mambo yasiwe mengi nikawa namuomba radhi yaishe kiuungwana.
Lol, sikujua walikuwa matapeli, mda ule tunazozana kusuluhisha, kwa nyuma alikwepo mwingine ambaye ndiye alichomoa simu yangu pasi mimi kutambua.
Ulitapeliwaje? Dondosha Mbinu tuwasaidie wadau wengine
Unaweza kushangaa wanaofanya hivyo ni customer care wa mitandaoSkuizi ukipokea pesa tu kuanzia elfu 50 tu wanakuja kama wote we utaskia mmoja anakuja anasema yeye mganga kutoka kigamboni anatibu nyota na mapenzi tuma kwa namba hii nikutibu Cc ephen_
Ni mateja hawana hata nguvu......ukimgundua tu hana ujanja anarudisha.Umecheleqa sana kugundua me siku ya kwanza walinifanyia hivyo... Ile mmoja kanichomoa tu nyuma nikamdaka. Nikaandaa ngumki mkononi. Nikamwambia naomba ulichochukua kabla sijakuwasha. Alirudisha fasta.
Ulitapeliwa kiboya sana. Nilikuona hiyo jana, na jinsi ulivyokuwa umevaa siulizi, utakuwa umetokea NjombeUsiku saa tatu hivi, nikiwa natembea pale mbande kuzitafuta daladala za chanika. Na ule uharaka wa kutembea ghafla nikajikuta kama nimemkanyaga bwana mmoja (alijikanyagisha nilijua baadae).
Basi akanishika huku akitweta "kwanini unanikanyaga bro, wajikuta nani eti, ustaarabu gani" mda huo ajifanya kama kulipiza kisa kwa kunikanyaga mguuni mwangu
Nikaona mambo yasiwe mengi nikawa namuomba radhi yaishe kiuungwana.
Lol, sikujua walikuwa matapeli, mda ule tunazozana kusuluhisha, kwa nyuma alikwepo mwingine ambaye ndiye alichomoa simu yangu pasi mimi kutambua.
Ulitapeliwaje? Dondosha Mbinu tuwasaidie wadau wengine