Mbinu mpya wanayotumia matapeli wanaotuma meseji

Hii nayo ikoje mkuu... yaani mfano ungefanya vile atakavyo ungeibiwaje?
ni cheusi chekundu alitaka kucheza,
nilikuwa na pesa kwenye simu laki420 alivyotuma hiyo elf50 ikawa 470..!

wakati ananipigia kunipush nimtumie katika ile namba ya dogo wake alieko shule huku nyuma alikuwa anataka awahi kunipiga pini,nikishatuma kwenye ile namba ya dogo palepale anapiga huduma ya wateja kisha wana reverse kwake ile hamsini!!
kumbuka hapo nilishatuma 50 yake kwa dogo ambaye ni yee
 
Aina za utapeli zipo nyingi ila mimi napokeaga sms tu mara nyingi, ya kupigiwa simu imetokea mara moja tu eti mtu kapiga simu anasema yeye ni makao makuu ya tigo huku namba aliyotumia ni voda sasa nilichojichanganya na mimi ni kumuuliza kwamba je hapo makao makuu mnatumia voda siku hizi- huu ushirikiano wa tigo na voda umeanza lini?" Matusi niliporomoshewa hapo ni mvua halafu nikasikiliza mpaka alipochoka kutukana akakata simu mwenyewe

Ilikuwa tigo ila sasa naona ni ttcl...
Kila meseji inayoingia ni wao kama sio basi voda

Zantel ni wa kwanza (nadhani) kuanzisha utaratibu wa kuripoti utapeli ila cha ajabu hiyo Zantel nimetumiwa mara moja tu ujumbe tangu nisajili

Airtel ndo namba yangu inayoongoza kwa kutumiwa hizo mambo halafu cha ajabu huku nilipo mtandao haushiki ila hata kama ni wiki sijawa hewani siku nikiwa hewani tu sms yao kuna uwezekano mkubwa kuingia
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Apo kama ulimblock mwenye nyumba utazani ni yeye tena unamchapa block nyingne
 
Awa wahuni wanapiga mno pesa
 
Sio uongo ningepigwa
 
Duu mkuu noma.sana, 😁😁
 
Mimi ninachojiuliza wanapataje hizi namba zetu maana dah! Aisee sielewi wanajuaje kuwa namba hii inatumika.

Au wanajuaje kwamba huyu mtu anapesa kwenye simu aana aisee.
Mbona ni rahisi hata wewe unaweza kubuni namba ukatuma meseji, kama ziko hewani zitafika kwa walengwa
 
Watu wanaotapeliwa kwa njia hizo za kiduanzi huwa hawachukui muda kutafakari na ndivyo ilivyo hulka ya wabongo wengi...

Maisha yetu yamekaa na 'short cuts' sana...
 
Napokea meseji kama hii wakati naishi kwangu sijapanga, ila si ajabu kuna watu unakuta wanatuma hata kama wanakaa kwenye nyumba zao walizojenga wenyewe [emoji23] [emoji28] watanzania hawana masihara
Meseji inatumwa kwa yeyote atakayepatikana huyohuyo
 
Nyinyi ni wazembe, ina maana wewe mwenye smartphone umeshidwa kabisa kumsaidia jamaa kufuta hiyo acc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…