Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
🤣🤣🤣Hao jamaa Wengi wao ni ma graduate.
Mama Samia akiwaajiri hao 9000 naa mwezi ujao hwenda wakatupunguzia "kiduchuu" "vibaka graduates " huku mitaani eee?!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Hao jamaa Wengi wao ni ma graduate.
ni cheusi chekundu alitaka kucheza,Hii nayo ikoje mkuu... yaani mfano ungefanya vile atakavyo ungeibiwaje?
mimi alinitumia ela 50000 halafu hapohapo akanipigia kwamba amekosea hivyo ananitumia namba ya dogo aliye skuli nimrushie...
nikampotezea maana janja ya nyani kwishajua!!
hadi mwisho ikaomba msamaha kwamba nirudishe haitarudia tena...
hapo mimi iko kwa mama muuza piga moja moto moja baridiiiii..
iko fikiri kila mtu ni MAKU MAKU
We acha tu!!!daaa matapeli hawana adabu bwasheee
😂😂😂😂
Ahahahahah! Inawezekana Bwashee! Au alitaka abiria wamuonee huruma tumchangie! Ahahahahah!Huyo bibi anaweza kuwa ndio kamtapeli konda nauli yake kwa kisigizio hicho
Apo kama ulimblock mwenye nyumba utazani ni yeye tena unamchapa block nyingneHabarini za asubuhi,
Wale jamaa zetu wa "tuma kwenye namba hii" kisha wakaja na kauli mbiu yao ya "Mimi mwalimu mtoto wako ameanguka ghafla tunaomba utume pesa kidogo ya kusaidia matibabu ya haraka huku ukijiandaa kuja" wamekuja na kauli nyingine isemayo: "
Habari yako? Mimi mwenye nyumba wako naomba hiyo kodi ya nyumba irushie kwenye hii ttcl 0734 693 419 maana na shida nayo, halafu mbona umekaa kimnya bila taarifa?
Namba ya mtumaji 0734 457 719
Chukueni tahadhari wale mliopanga
Awa wahuni wanapiga mno pesaHili suala ni kweli, wazazi wangu walitaka kutapeliwa kwa mtindo huo, nina mdogo wangu kamaliza 4m 6 mwaka huu, sasa wakati yuko shule ilikua mwezi wa pili,
Siku hiyo majira ya mchana baba akiwa kazini kwake, akapokea sms kwa cm yake ikisomeka hivi, "habari mzazi, mwanao ameanguka darasani ghafla na kupoteza fahamu, tumefanya jitihada za haraka kumfikisha hospital ambapo anapatiwa matibabu, ila bado hajapata fahamu hivyo unatakiwa utume gharama za matibabu kwa no hii (huku ikiambatanishwa namba husika)".
Baada ya kusoma ile sms, akahamaki akampigia cm mama kumfahamisha, hapo mama akaanza kuchanganyikiwa na kumshinikiza baba atume hela haraka iwezekanavyo, sasa baba akatak kujua undani wa tukio hilo, akapiga cm kwa no ilotuma text haipokelew zaid ya mara 3, baadae ile no ilatuma sms "samahani nipo sehemu mbaya siwezi kupokea cm, ila mwanao kazinduka na daktari kasema gharama itakua laki 2".
Hapo baba akaona haelewi chochote, akamtafuta kaka mkubwa kumpa taarifa, sasa mkubwa ana mawasiliano na baadhi ya walimu ktk shule anayosoma dogo, akawacheki kuuliza anambiwa dogo yupo vizur wala hakna tatzo lolote, akapewa dogo cm wakaongea na kaka yaan dogo yupo vizuri kabisa. Ndo hapo ikawa amani kwa wazazi, vinginevyo wangetuma hela kwa matapeli.
Utapeli wa mtandaoni upo na unazidi kukua kwa kasi.
Tulikofikia kwa sasa kila mtu anaishi kiujanja ujanja tu. Hapo labda hakuwa na nauli kwaio akaamua kutumia mbinu hiyoAhahahahah! Inawezekana Bwashee! Au alitaka abiria wamuonee huruma tumchangie! Ahahahahah!
Sio uongo ningepigwani cheusi chekundu alitaka kucheza,
nilikuwa na pesa kwenye simu laki420 alivyotuma hiyo elf50 ikawa 470..!
wakati ananipigia kunipush nimtumie katika ile namba ya dogo wake alieko shule huku nyuma alikuwa anataka awahi kunipiga pini,nikishatuma kwenye ile namba ya dogo palepale anapiga huduma ya wateja kisha wana reverse kwake ile hamsini!!
kumbuka hapo nilishatuma 50 yake kwa dogo ambaye ni yee
Duu mkuu noma.sana, 😁😁ni cheusi chekundu alitaka kucheza,
nilikuwa na pesa kwenye simu laki420 alivyotuma hiyo elf50 ikawa 470..!
wakati ananipigia kunipush nimtumie katika ile namba ya dogo wake alieko shule huku nyuma alikuwa anataka awahi kunipiga pini,nikishatuma kwenye ile namba ya dogo palepale anapiga huduma ya wateja kisha wana reverse kwake ile hamsini!!
kumbuka hapo nilishatuma 50 yake kwa dogo ambaye ni yee
Mbona ni rahisi hata wewe unaweza kubuni namba ukatuma meseji, kama ziko hewani zitafika kwa walengwaMimi ninachojiuliza wanapataje hizi namba zetu maana dah! Aisee sielewi wanajuaje kuwa namba hii inatumika.
Au wanajuaje kwamba huyu mtu anapesa kwenye simu aana aisee.
Usiwalaumu, hata wewe unaweza kubuni namba za ttcl ukawatumia watu sms na zikawafikia watuTTCL wanazingua maana namba zao ndio zatumika kwenye hizo sms
Meseji inatumwa kwa yeyote atakayepatikana huyohuyoNapokea meseji kama hii wakati naishi kwangu sijapanga, ila si ajabu kuna watu unakuta wanatuma hata kama wanakaa kwenye nyumba zao walizojenga wenyewe [emoji23] [emoji28] watanzania hawana masihara
Ni kama jiwe la gizaniMeseji inatumwa kwa yeyote atakayepatikana huyohuyo
Acha tu yaani mji una mamboNi kama jiwe la gizani
Nyinyi ni wazembe, ina maana wewe mwenye smartphone umeshidwa kabisa kumsaidia jamaa kufuta hiyo accSasa hivi wamekuja na mbinu nyingine na hii nimeziona juzi. Jamaa yangu kapoteza simu juzi. Namjua muda mrefu tu kuwa anatumia simu ndogo. Sasa nimeshangaa napokea msg whatsapp kutoka kwenye namba yake nimuazime pesa kidogo. Nimesikitika Sana maana najua kuwa hata jamaa akienda kufunga line yake bado jamaa ataendelea kutapeli WhatsApp tu mpaka apate simu kubwa ya kutumia kufunga account yake
View attachment 1818372