Mbinu mpya wanayotumia matapeli wanaotuma meseji


Mh, isijekuwa huyo bibi ni tapeli nae na hapo aliapply mbinu yake namba 2 kati ya 200 alizonazo za kusafiri bure!!!!! Mungu anisamehe kwa kufikiria hv, ni matapeli hawa waliotufikisha katika hali hii.
 
Dah! Kweli kua uyaone- siyo maghorofa... mkuu asante kwa kunitoa tongotongo katika hili nimekuelewa vilivyo kwamba anatuma hamsini ila kwenye kurudi irudi na (hamsini) mwenzake, kwahiyo ukaenda zako kutoa laki nne yako yote au ukakausha areverse kahela kake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…