Mbinu mpya ya Kujiunga na Bando za Chuo za AIRTEL zenye gharama nafuu

Mbinu mpya ya Kujiunga na Bando za Chuo za AIRTEL zenye gharama nafuu

Hahahah, kama kawaida ya binadamu kila anapopatwa na janga huwa anawaza namna ya kupata unafuu.

Katika harakati zangu za kusaka unafuu nikakutana na chimbo la bando za Aitel za chuo zenye gharama nafuu.

Maisha kusaidiana ,hapa nawawekea procedures mpya za kujiunga na bando hizo.

BOFYA *148*60# KISHA NO 3 ALAFU NENDA NO 7.

Thank me later.

Hahahah, kama kawaida ya binadamu kila anapopatwa na janga huwa anawaza namna ya kupata unafuu.

Katika harakati zangu za kusaka unafuu nikakutana na chimbo la bando za Aitel za chuo zenye gharama nafuu.

Maisha kusaidiana ,hapa nawawekea procedures mpya za kujiunga na bando hizo.

BOFYA *148*60# KISHA NO 3 ALAFU NENDA NO 7.

Thank me later.
Asante sana mkuu
 
Airtel hata wakikupa GB 100 usichukue, hutazifanyia kazi.
Niliwahi kununua GB 30 , lakini niliishia kutumia GB 2 Tena kwa tabu Sana. Mtandao unaganda na upo slow sijawahi kuona
Hiyo line yako ulii upgrade kwenda 4G? Hizo bando unatumia kwenye device yenye 4g au 3g?
Binafsi kwa jinsi nilivyotumia airtel toka niupgrade line kwenda 4g sijawahi kuona mtandao wao ukikwama na iko speed ila nikiweka line hiyo hiyo kwenye device ya 3g kiuwezo mtandao unakwama
 
Hahahah, kama kawaida ya binadamu kila anapopatwa na janga huwa anawaza namna ya kupata unafuu.

Katika harakati zangu za kusaka unafuu nikakutana na chimbo la bando za Aitel za chuo zenye gharama nafuu.

Maisha kusaidiana ,hapa nawawekea procedures mpya za kujiunga na bando hizo.

BOFYA *148*60# KISHA NO 3 ALAFU NENDA NO 7.

Thank me later.
Hii ni kwa wenye laini ya chuo tu ndio inakubali
 
Back
Top Bottom