Asante sana.[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Nimefaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana.[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Wapuuzi sana hawa.Airtel wanakupa Gb 10 mtandao katafute mwenyewe[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahah, kama kawaida ya binadamu kila anapopatwa na janga huwa anawaza namna ya kupata unafuu.
Katika harakati zangu za kusaka unafuu nikakutana na chimbo la bando za Aitel za chuo zenye gharama nafuu.
Maisha kusaidiana ,hapa nawawekea procedures mpya za kujiunga na bando hizo.
BOFYA *148*60# KISHA NO 3 ALAFU NENDA NO 7.
Thank me later.
Asante sana mkuuHahahah, kama kawaida ya binadamu kila anapopatwa na janga huwa anawaza namna ya kupata unafuu.
Katika harakati zangu za kusaka unafuu nikakutana na chimbo la bando za Aitel za chuo zenye gharama nafuu.
Maisha kusaidiana ,hapa nawawekea procedures mpya za kujiunga na bando hizo.
BOFYA *148*60# KISHA NO 3 ALAFU NENDA NO 7.
Thank me later.
*148*05#Zantel jamani kwa aliyejua
Hiyo line yako ulii upgrade kwenda 4G? Hizo bando unatumia kwenye device yenye 4g au 3g?Airtel hata wakikupa GB 100 usichukue, hutazifanyia kazi.
Niliwahi kununua GB 30 , lakini niliishia kutumia GB 2 Tena kwa tabu Sana. Mtandao unaganda na upo slow sijawahi kuona
*148*05#Zantel jamani kwa aliyejua
Hamna kitu unaambiwa piga *149*99#Waliotest waletw mrejeaho
Hakuna un offer?Sasa iv uni offer imegeuka
Akilipa nijuzeMkuu nisaidie ujanja upande was Halotel coz nipi kijijini huku na Halo pekee ndo inapeleka moto
Hii as hivi haikubali ng'oHalotel ya chuo ni *148*55#.
Jaribu humo.
Hii ni kwa wenye laini ya chuo tu ndio inakubaliHahahah, kama kawaida ya binadamu kila anapopatwa na janga huwa anawaza namna ya kupata unafuu.
Katika harakati zangu za kusaka unafuu nikakutana na chimbo la bando za Aitel za chuo zenye gharama nafuu.
Maisha kusaidiana ,hapa nawawekea procedures mpya za kujiunga na bando hizo.
BOFYA *148*60# KISHA NO 3 ALAFU NENDA NO 7.
Thank me later.
AiseeMkuu nisaidie ujanja upande was Halotel coz nipi kijijini huku na Halo pekee ndo inapeleka moto