Mbinu tata: Mfanye mwanamke akufukuzie!!

Mmmmmmmh siyo wanawake wa kileo maaana saizi ni hatari sna kuna mitihani mingi sna ambayo tunaiptia Sisi wanaume pia asilimia kubwa wanawake wa kileo wako kimasilihi siyo wote lkn
 
Usiigize tabia za wenye pesa wakati huna pesa hizo,Tafuta pesa hayo mapozi yatakuja bila wewe kujua..
 
Wewe sijasema ndo kutokuhonga
 
Hiyo namba moja humpati mtu kihivyo na maswali yako. Yani unataka ujikute ww ndio cake, aiseee hayo maswali yako ya interview yangenipata mm!, Basi nahic siku hiyo hiyo mtu angeondoka asirudi tena
Hahahaa.. I agree miss powers, Cheers!
 
Mchawi noti asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…