Mbinu wanazotumia wapinzani kukwepa mtego wa kukutwa na vidhibiti wanapopekuliwa na polisi majumbani mwao

Hawaruhusiwi kukagua before sunrise and after sunset πŸŒ‡.

Kwenye upekuzi wanapaswa kuja na kuongozi wa serikali za mitaa. Mjumbe n.k.

Mambo ni mengi sana ila kwa uchache ni hivyo tu.

..sasa mbona Boniface Jacob upekuzi nyumbani kwake umefanyika usiku?
 
Kati ya vitu vinavyoutesa CCM ni :
1. Wanasheria
2. Vijana wasomi na wasio wasomi waliko mitaani
 
Tanzeni siku 47 yapo majitu yataenda kufa mido wazi , Bwana ana sema machawa katubuni mmeriaribu taifa la Bwana
 
Kama ndio ilishindikanaje kumgeuza mzee "kibao" kuwa penetrator
 
Kama ndio ilishindikanaje kumgeuza mzee "kibao" kuwa penetrator
We unauhakika gani kama hakuwa undercover huko? Utasema asingetekwa , inawezekana katekwa na hao hao viongozi wa chama baada ya kuligundua hilo
 
please!!!!!!!!!!!!!! Kuna muda ulisema umeishi Marekani na wewe ni Mtoto wa Afisa mkuu, very educated!!!! Ukiaanza kuandika hivi....................... big question............... be wise
Marekani nilirudi na boxer tu sina degree mimi
 
We unauhakika gani kama hakuwa undercover huko? Utasema asingetekwa , inawezekana katekwa na hao hao viongozi wa chama baada ya kuligundua hilo
Kama chama kina wababe wanaoweza kumshusha mtu mchana kweupe kwenye gari wakiwa na AK 47 basi wapewe nchi na polisi watimuliwe wameshindwa kutulinda
 
..sasa mbona Boniface Jacob upekuzi nyumbani kwake umefanyika usiku?
Inategemea pia na seriousness ya kosa (offence) pamoja na urgency ( endapo kuna uwezekano wa ushahidi kuharibiwa n.k) search inaweza fanyika muda wowote bila search warrant.
 
Hakuna lolote kupotezeana muda tu.
 
Kati ya vitu vinavyoutesa CCM ni :
1. Wanasheria
2. Vijana wasomi na wasio wasomi waliko mitaani
Ccm inateswa na mazuzu, uchawa ambao umetoka kwa vijana sasa unasambaa kwa kasi kwa watu wazima na vitukuu mfano mzee wangu wa Iringa,sio yule mchungaji feki. Bila kujali what next lazima kusimama .

Sina shida na chama chochote kama jina bali nipo na shida na binadam walio huko , ccm ni jina ,chadema ni jina kama ambavyo jina langu 4 7 Mbatizaji, hii sio shida kabisa ,

Na tukisema ccm 2025 uchaguguzi ukifanyika inaondoka sio ccm kama jina la chama bali walio pitia kichaka ichi chafua taifa lazima kuondoka na ccm kama chama then kinaweza kurudi na wenye akili mpya ,kinaondoka tu this time asema Bwana na nongea kwa kujiamini maana Mungu wangu yupo kazini.

Angalizo

Mnaokaa vikao vya siri, kupanga ,kutenda au kushiriki umiza watu ,kufanya uzandinki ,kuteka kuua 85% 2025 hamtaiona ,aya sio maneno yangu ,pokea ujumbe huu bila kujali imani yako ,mizim yako , upanga mkuu unakuja juu yenu ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…