Mbinu ya Kenyatta, Ruto na IEBC haijapata kutokea tokea dunia iundwe!

Mbinu ya Kenyatta, Ruto na IEBC haijapata kutokea tokea dunia iundwe!

Hivi kuna nchi yoyote ya Kiafrika labda ukiondoa Tanzania yetu hii hayo masuala ya uwizi na hila katika Uchaguzi hayafanyiki?
karibia mataifa mengi ya africa wanafanya udanganyifu kwenye uchaguzi labda mataifa machache sana kama ghana,botswana,Malawi,Zambia na South Africa wamestaarabika kwa kiasi flani japo huwa kunakuwa na dosari ndogo ndogo ,kinachopingwa hapa ni kusifia kile kitendo cha wizi wa kura! wizi ni wizi tu hata ukifanyika kwa uzuri kiasi gani unapaswa kupingwa na sio kuushabikia
 
Hizi zote ni mbinu za ccm na hakuna jipya!

Kimepungua kuweka askari wa kuwatishia watu wasiende kupiga kura na kupiga kura kabla ya uchaguzi.
 
genta acha kuleta mada za kusababisha taharuki miongoni mwa wakenya.

Moderator futeni hii thread.inapandikiza chuki katika kipindi hiki ambacho joto la uchaguzi miongoni mwa wakenya ni kubwa.
MK254
 
Ukisikia Afrika nchi inalalama kuhusu gharama za Uchaguzi basi sio kununua tu masanduku ya kupigia kura bali pia kugharamia kamati za ufundi na mipango kama hiyo bika kusahau kununua gari na silaha za kutosha kwa vyombo vya ulinzi na usalama.
 
Kenyatta lazma arudi ikulu.. Odinga hawezi kukubali na hii ndiyo karata yake ya mwisho
 
Je unatambua uhusiano kati ya raila amollo odinga na chabukati?
Je unatambua kuwa taarifa za ndani zinatuhumu 70% ya IEBC uko mikononi mwa odinga,
je unatambua jambo lililoleta sintofahamu juzi kati ya thabo mbeki na Uhuru mwigai kenyata je unajua kilichosababisha jamaa wa it akauawa na nani yuko nyuma ya hilo au umeamini ni mafioso ruto?
Je unatambua John Kerry anatuhumiwa na UK kuna na team ya waingilia mitandao especially satellite ambayo inampango wa kutumika kwenye vituo 11000


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeandika kutushawishi kuwa Odinga anakubalika zaidi ya Kenyatta. Utafiti uliofanyika na Taasisi mbili tofauti unatoa matokeo tofauti kuonyesha wote wawili wanakubalika. Pia hivyo vituo 11000 umejaribu kuonyesha kama vyote vinawapiga kura wengi wa NASA which is not true at all.
 
We unaiondoaje Tanzania kwenye maujinga hayo? Bahati mbaya ndugu zako wacha wachapwe tu hakuna namna! UHURUTO TENA 5 YEARS!
 
Back
Top Bottom