ukifika pa kukaanga nishtue maana mimi nimezoea kuchemsha maji ya kuchemshia chai...rost itapendeza zaidi!Yes,, ngoja nipost kuhusu chai kuna mahali wengi hukosea
Ni kweli au unataka nilikoroge tu?..,.........habarini wadau,,,,,,,
Naimana kuna mahali ushawahi kupita ukasikia wali unanukia vizuri sana(achana na harufu ya wali wa msituni [emoji23] )
[emoji626] hakikisha pale unapopika wali wako usichemshe maji "yaani usitumie maji yaliyochemshwa kupikia wali pikia maji baridi" ..
Kama umeshakaanga wali wako basi tia maji baridi na si ya moto vivyo hivyo kwa machele ambao si wa kukaanga ukisha osha bandika tia maji ya baridi endelea kupika kawaida
....utakuwa na harufu nzuri mno ,......by Naima
Aki vile na diploma yangu yangu ya mapishi ila sijawah kutan na somo kama hili,napita..,.........habarini wadau,,,,,,,
Naimana kuna mahali ushawahi kupita ukasikia wali unanukia vizuri sana(achana na harufu ya wali wa msituni [emoji23] )
[emoji626] hakikisha pale unapopika wali wako usichemshe maji "yaani usitumie maji yaliyochemshwa kupikia wali pikia maji baridi" ..
Kama umeshakaanga wali wako basi tia maji baridi na si ya moto vivyo hivyo kwa machele ambao si wa kukaanga ukisha osha bandika tia maji ya baridi endelea kupika kawaida
....utakuwa na harufu nzuri mno ,......by Naima
Hahahaaa. Ndio upishi huo mdogo wangu.Aki vile na diploma yangu yangu ya mapishi ila sijawah kutan na somo kama hili,napita
HahahhaaKama ni wali sawa nilifikiri unasema ubwabwa ndio uupike hivyo
Na kunawatu wataenda kujaribu haki vile watatengeneza bonge la bokobokoHahahaaa. Ndio upishi huo mdogo wangu.
Kama mie dada yako niliyezowea wali wa nazi hapa hakuna nilichoambulia.
Hahaha hzo mbinu mpya hzoHahahhaa
Haha watapika ubwabwa na sio ya waliNa kunawatu wataenda kujaribu haki vile watatengeneza bonge la bokoboko