Mbinu ya kufanya wali wako unukie zaidi

Mbinu ya kufanya wali wako unukie zaidi

wali unanukia vizuri sana(achana na harufu ya wali wa msituni
emoji23.png
)
Mi ndo naipenda sana hii
 
Mbona km maelezo hayajitoshelezi.."km umeshakaanga".... mbona km kulitakiwa kitangulie kitu kabla ya haya maelezo?..ghafla tuu unakaanga..unakaangaje..au sisi midume bachela haturuhusiwi kujua?
 
Vipi kwa tanaotumia rice cooker mbona tunaweka maji ya baridi na bado kitu hakinukii wala nini, labda nakosea mkuu msaada kwenye tuta!
 
..,.........habarini wadau,,,,,,,
Naimana kuna mahali ushawahi kupita ukasikia wali unanukia vizuri sana(achana na harufu ya wali wa msituni [emoji23] )

[emoji626] hakikisha pale unapopika wali wako usichemshe maji "yaani usitumie maji yaliyochemshwa kupikia wali pikia maji baridi" ..
Kama umeshakaanga wali wako basi tia maji baridi na si ya moto vivyo hivyo kwa machele ambao si wa kukaanga ukisha osha bandika tia maji ya baridi endelea kupika kawaida
....utakuwa na harufu nzuri mno ,......by Naima
Kanunue ule mchele wa buku uone kama hiyo harufu nzuri kama utaipata
 
Kuna mchele hata uweke rice massala haunukii

Ngoja nijaribu leo usiponukia nakuja kukubwagia safuria hapa
Hahahahaha mimi naona kunukia kwa mchele ni aina ya mchele wenyewe huku kwetu wa bei ghali naona ndo unaonukia na mtamu kuliko wa bei rahisi
 
Pia weka mafuta mengi ,
Mi hua nachemsha maji nayawekea chumvi kabisa nikitaka unukie zaidi naweka na hiliki,maji yakichemka nachuku chujio natoa zile hiliki naweka mchele ,,napima maji kama yametosha halaf naweka mafuta
Nahakikisha siunguzi
Wali ukitoka hapo umechambuka unanukia
 
Pia weka mafuta mengi ,
Mi hua nachemsha maji nayawekea chumvi kabisa nikitaka unukie zaidi naweka na hiliki,maji yakichemka nachuku chujio natoa zile hiliki naweka mchele ,,napima maji kama yametosha halaf naweka mafuta
Nahakikisha siunguzi
Wali ukitoka hapo umechambuka unanukia
Nataka nikuaajiri ktk Restaurant zangu uwasimamie maChef !!
 
Back
Top Bottom