Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hahahaaaa. Ila ndio hivyo kila mmoja na upishi wake mdogo wangu.Na kunawatu wataenda kujaribu haki vile watatengeneza bonge la bokoboko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa. Ila ndio hivyo kila mmoja na upishi wake mdogo wangu.Na kunawatu wataenda kujaribu haki vile watatengeneza bonge la bokoboko
Hahaaa. Hata mi nimeziona .Hahaha hzo mbinu mpya hzo
Kunanjia nyingi yakupika wali wakunikia bila gharama yoyote,si bora uwaambie ukwel tuuHahahaaaa. Ila ndio hivyo kila mmoja na upishi wake mdogo wangu.
Mi ndo naipenda sana hiiwali unanukia vizuri sana(achana na harufu ya wali wa msituni)![]()
Hahahaaaa. Mdogo wangu mie dada yako sijasomea mapishi ujue. [emoji12] [emoji12]Kunanjia nyingi yakupika wali wakunikia bila gharama yoyote,si bora uwaambie ukwel tuu
Pole,ntakufundishaHahahaaaa. Mdogo wangu mie dada yako sijasomea mapishi ujue. [emoji12] [emoji12]
Bora mdogo wangu. Inabidi tusubiri huu mwaka ukipinduka ndio tuanze hilo somo sasa.Pole,ntakufundisha
Usijal ukiwa free nambie,nitakufundish buree kabisaBora mdogo wangu. Inabidi tusubiri huu mwaka ukipinduka ndio tuanze hilo somo sasa.
Hahahaaaa.
Sawa mwaya.Usijal ukiwa free nambie,nitakufundish buree kabisa
Acha kuwahada watu..kinacho fanya chai inukie ni hiliki na tangawizMbinu hii ikitumika pia kwenye mapishi ya chai itapendeza zaidi!
Kanunue ule mchele wa buku uone kama hiyo harufu nzuri kama utaipata..,.........habarini wadau,,,,,,,
Naimana kuna mahali ushawahi kupita ukasikia wali unanukia vizuri sana(achana na harufu ya wali wa msituni [emoji23] )
[emoji626] hakikisha pale unapopika wali wako usichemshe maji "yaani usitumie maji yaliyochemshwa kupikia wali pikia maji baridi" ..
Kama umeshakaanga wali wako basi tia maji baridi na si ya moto vivyo hivyo kwa machele ambao si wa kukaanga ukisha osha bandika tia maji ya baridi endelea kupika kawaida
....utakuwa na harufu nzuri mno ,......by Naima
Hahahahaha mimi naona kunukia kwa mchele ni aina ya mchele wenyewe huku kwetu wa bei ghali naona ndo unaonukia na mtamu kuliko wa bei rahisiKuna mchele hata uweke rice massala haunukii
Ngoja nijaribu leo usiponukia nakuja kukubwagia safuria hapa
Nataka nikuaajiri ktk Restaurant zangu uwasimamie maChef !!Pia weka mafuta mengi ,
Mi hua nachemsha maji nayawekea chumvi kabisa nikitaka unukie zaidi naweka na hiliki,maji yakichemka nachuku chujio natoa zile hiliki naweka mchele ,,napima maji kama yametosha halaf naweka mafuta
Nahakikisha siunguzi
Wali ukitoka hapo umechambuka unanukia
Tofauti ya wali na ubwabwa ni nini?Kama ni wali sawa nilifikiri unasema ubwabwa ndio uupike hivyo
Wanaojua kupika wali ni wachache tofaut na wanajua kupika ubwabwa"