Mbinu ya kufanya wali wako unukie zaidi

Mbinu ya kufanya wali wako unukie zaidi

mimi huwa nafanya hivyo na inasaidia kweli ila kumbuka kuweka kiwangi pungufu cha maji ikilinganishwa na ya moto
 
Mi nishazoea kupika wali wa hiliki, hivyo fikiria jinsi unavyonukia
 
Nifundishe napikaje wali kwenye gas maana nimechemka mara nyingi sana mpaka sitaki tena wali
Kama unakaanga mchele wako "tia mafuta yapate moto tia mchele uliokoshwa vyema (usiroweke mchele) kisha tia chumvi na vingine unavyotaka kisha ukishaona umekaanga ukaridhika tia maji (usiyachemshe) ukishaona maji yanakaribia kukauka chukua foil ama mfuko (funika)sijui ww unatumia nn punguza jiko mpka mwisho kisha funika na mfuniko wacha wali wako uive ukija funua umeiva vyema kabisa

Zingatia kutumia moto kidogo ,, epuka kukoroga koroga wali wako mara nyingi mana utatengeneza bokoboko,,

Ukishindwa kabisa nunua rice cooker [emoji13]
 
Kama unakaanga mchele wako "tia mafuta yapate moto tia mchele uliokoshwa vyema (usiroweke mchele) kisha tia chumvi na vingine unavyotaka kisha ukishaona umekaanga ukaridhika tia maji (usiyachemshe) ukishaona maji yanakaribia kukauka chukua foil ama mfuko (funika)sijui ww unatumia nn punguza jiko mpka mwisho kisha funika na mfuniko wacha wali wako uive ukija funua umeiva vyema kabisa

Zingatia kutumia moto kidogo ,, epuka kukoroga koroga wali wako mara nyingi mana utatengeneza bokoboko,,

Ukishindwa kabisa nunua rice cooker [emoji13]
Asante sana mkuu hapo nimekupata rice cooker nitanunua mda si mrefu
 
Mh! Nimebaki nimekodoa macho tu. Huu utakuwa wali kweli au boko boko? Ndiyo nasikia upishi kwa hivi kwa mara ya kwanza.

..,.........habarini wadau,,,,,,,
Naimana kuna mahali ushawahi kupita ukasikia wali unanukia vizuri sana(achana na harufu ya wali wa msituni [emoji23] )

[emoji626] hakikisha pale unapopika wali wako usichemshe maji "yaani usitumie maji yaliyochemshwa kupikia wali pikia maji baridi" ..
Kama umeshakaanga wali wako basi tia maji baridi na si ya moto vivyo hivyo kwa machele ambao si wa kukaanga ukisha osha bandika tia maji ya baridi endelea kupika kawaida
....utakuwa na harufu nzuri mno ,......by Naima
 
Mmmhhh mi kuna watoto wa jirani huwa wakiskia tu harufu ya mapochopocho skani....bs dakika haipiti unawaona wapo nje wanacheza cheza kudunguana.....sasa nikitumia hii si ndo kabisaa watahamiaaa...!!!!!

[HASHTAG]#Atubu[/HASHTAG]
 
Mmmhhh mi kuna watoto wa jirani huwa wakiskia tu harufu ya mapochopocho skani....bs dakika haipiti unawaona wapo nje wanacheza cheza kudunguana.....sasa nikitumia hii si ndo kabisaa watahamiaaa...!!!!!

[HASHTAG]#Atubu[/HASHTAG]
Hahaaaahaaaaaa
 
Mh! Nimebaki nimekodoa macho tu. Huu utakuwa wali kweli au boko boko? Ndiyo nasikia upishi kwa hivi kwa mara ya kwanza.
Kinachofanya wali unakuwa bokoboko n kukoroga hovyo, maji mengi na moto kuwa mkali utakulazimu uwe unageuza mara kwa mara ili kuepusha kushika chinu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Okay kwa hiyo kutumia maji ya baridi ni kutaka tu wali unukie.

Kinachofanya wali unakuwa bokoboko n kukoroga hovyo, maji mengi na moto kuwa mkali utakulazimu uwe unageuza mara kwa mara ili kuepusha kushika chinu
 
Kama unakaanga mchele wako "tia mafuta yapate moto tia mchele uliokoshwa vyema (usiroweke mchele) kisha tia chumvi na vingine unavyotaka kisha ukishaona umekaanga ukaridhika tia maji (usiyachemshe) ukishaona maji yanakaribia kukauka chukua foil ama mfuko (funika)sijui ww unatumia nn punguza jiko mpka mwisho kisha funika na mfuniko wacha wali wako uive ukija funua umeiva vyema kabisa

Zingatia kutumia moto kidogo ,, epuka kukoroga koroga wali wako mara nyingi mana utatengeneza bokoboko,,

Ukishindwa kabisa nunua rice cooker [emoji13]
Hapo kwenye mfuko umeharibu,nadhani unamaanisha mfuko laini
 
..,.........habarini wadau,,,,,,,
Naimana kuna mahali ushawahi kupita ukasikia wali unanukia vizuri sana(achana na harufu ya wali wa msituni [emoji23] )

[emoji626] hakikisha pale unapopika wali wako usichemshe maji "yaani usitumie maji yaliyochemshwa kupikia wali pikia maji baridi" ..
Kama umeshakaanga wali wako basi tia maji baridi na si ya moto vivyo hivyo kwa machele ambao si wa kukaanga ukisha osha bandika tia maji ya baridi endelea kupika kawaida
....utakuwa na harufu nzuri mno ,......by Naima
Wow! Kwa hiyo unanukia vizurii

Wale tunaopenda kupika pika mkuje
 
Back
Top Bottom