Mbinu ya kufanya wali wako unukie zaidi

Mbinu ya kufanya wali wako unukie zaidi

Pia weka mafuta mengi ,
Mi hua nachemsha maji nayawekea chumvi kabisa nikitaka unukie zaidi naweka na hiliki,maji yakichemka nachuku chujio natoa zile hiliki naweka mchele ,,napima maji kama yametosha halaf naweka mafuta
Nahakikisha siunguzi
Wali ukitoka hapo umechambuka unanukia

Toto la Kiislamu hilo...linajua kupika balaa...
 
mie nami nilifundishwaga wali wa maji baridi sijawah pikia maji ya moto aslan ! ..asante kuwaelimisha watu mwaya !
 
Hahahahaha mimi naona kunukia kwa mchele ni aina ya mchele wenyewe huku kwetu wa bei ghali naona ndo unaonukia na mtamu kuliko wa bei rahisi
Nilitaka niseme nikaona nisiseme sana
Kuna aina tofauti tofauti za mchele kulingana na mbegu ya mpunga

Pia na muda wa mchele toka umevunwa.
Hivi vinafanya mchele unukie au upooze
 
Pia weka mafuta mengi ,
Mi hua nachemsha maji nayawekea chumvi kabisa nikitaka unukie zaidi naweka na hiliki,maji yakichemka nachuku chujio natoa zile hiliki naweka mchele ,,napima maji kama yametosha halaf naweka mafuta
Nahakikisha siunguzi
Wali ukitoka hapo umechambuka unanukia
Mzima ?
 
Back
Top Bottom