Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,684
- 28,777
Hashindwi kuniwekea limbwata nikuchukie badala ya kukupenda msukuma wanguTwende tukale wali wa Dina....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hashindwi kuniwekea limbwata nikuchukie badala ya kukupenda msukuma wanguTwende tukale wali wa Dina....
Mke mwenzetu yule, tumpende tu mana hakuna namnaWeee unampenda miss natafuta sikutaki
Alhamdullilah niko salamaNiko poa Hornet,,za masiku
Nirudishe [emoji6] [emoji6]Mimi pia, rudi basii[emoji17]
Jifarijini mi nimekaba mpaka penatiMke mwenzetu yule, tumpende tu mana hakuna namna
Mke mwenzetu yule, tumpende tu mana hakuna namna
Nafurahi kusikiaAlhamdullilah niko salama
Kweli aisee toka nianze maisha ya udouble nashindwa kula wali hotelinMi nipike wa maji ya baridi au ya moto lazima unukie tu,,
Nikiwa na haraka napika wa maji ya baridi
Halaf watu wengi hawajui kupika wali hhhaaaa
Eee watu wanajua kupika banaKweli aisee toka nianze maisha ya udouble nashindwa kula wali hotelin
Unakuta una kiharufu cha kuungua au umezidi maji au umepauka
Ila kuna vimigahawa vya kiswahili wanapika wali nazi ni hatari.
Unawafariji ee?Hahahaaa kichaa kabisa wewe!
Nakurudisha now now mamaNirudishe [emoji6] [emoji6]
We baki na penati yako ila vinono tunavipata nasieJifarijini mi nimekaba mpaka penati
Mtaanza kupata makapi kabisaWe baki na penati yako ila vinono tunavipata nasie
Ha haha, hakuna noma as long starehe ni ileileMtaanza kupata makapi kabisa
Dawa yenu inachemka
AhhahahahHa haha, hakuna noma as long starehe ni ileile
Unapatikana kijiji gani?Acha kuwahada watu..kinacho fanya chai inukie ni hiliki na tangawiz
Itabagumboki kigomaUnapatikana kijiji gani?
aha! Umeolewa?Itabagumboki kigoma