Mbinu ya uhakika ya kuchukulia namba kwa watoto wazuri

maji ya gundu

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
3,070
Reaction score
4,698
Poleni na majukumu wakuu

Leo nimeona nisheenanyi njia za uhakika ambazo ukizitumia inavotakiwa kwako namba za watoto wazuri itakua sio shida

Fungua goli(office) la huduma za kifedha yaani namaanisha uwe na tigo pesa,m pesa, Airtel money na hallo pesa, yaani hii ni njia ya uhakika na salama maana kila mtoto mzuri anaekuja kufanya muamala kwene office yako lazima umnyake kwa sababu anaotoa hela namba yake inakuja kwako na anavoeka hela anataja namba yake

Kua closed na watu wanajihusisha na huduma za kifedha apa namaanisha tengeneza urafiki na mawakala ukifeli kabisa fungua goli lolote karibu na office zao so itakua rahisi kwa wewe kuwaomba namba ya kila mtoto anaiingia na kutoka

Penda sana kutembea na gari yaani ata kama huna ndinga we fanya kuazima mzee hawa watoto wakiona ndinga akili zinahama wanazidisha kukushobokea yani ukigusa tu imo
Naomba niishie hapo kwa leo next time ntafundisha jinsi gani ya kupiga chabo gest
 
Yaani ufungue kibanda cha M-pesa ili tu upate namba ya mwanamke?

Mkuu si ukimkubali unaomba namba tu.
wanasumbua sana mzee afu ukifungua kibanda unatanua wigo utawapata wengi
 
Tume kushtukia jambo letu liko pale pale 28octb kwa siri sanaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…