Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Post yangu inaomba michango ya watu, ungeweza tu kusema katiba mpya bila kusema nazuga watu.
Uzoefu unaonyesha machafuko tu ndio huleta mabadiliko ya kweli Afrika. La kwanza kwa sasa ni kuhakikisha watu wengi hawajitokezi kupiga kura, kisha kutumia matatizo yanayoshindwa kutatuliwa na serikali, ikiwemo na ugumu wa maisha kufanya vurugu ili kupata mabadiliko ya kweli. Pia kutokushirikiana na wanaccm kwenye misiba, sherehe, michezo nk. Njia hizi zitaleta muafaka taka wasitake.
Sasa hivi viongozi wa CCM wakiitisha mikutano ni watu wachache sana huhudhuria, inatakiwa watu wahamasishane kuwasusia huku ikitolewa elimu dhidi ya uwepo wa CCM madarakani na madhara yake. Vikao vya bunge zikiletwa mada zake ni kuziponda mwanzo mwisho ili bunge lizidi kudharaulika.