Bossprota
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 336
- 373
Hakuna kosa litakufunga Zambia Zaid ya mauaji na kumpiga mwanamke mengine yoote yanavumilika mzeyIla wale jamaa ni wema sana kuliko watu wa nchi zote zinazotuzunguka. Hawana noma. Hata immigration huwa wana ile kamata kamata lakini mwisho wake mnamalizana kimjini maisha yanaendelea.