Mbinu za kuingia nchi ya jirani kutafuta Fursa

Mbinu za kuingia nchi ya jirani kutafuta Fursa

Duh sema hapo ndio changamoto sema nahis unachagua urahis mfano kwa mzambia kunabaadhi ya nchi ni easy kuingia na mtanzania kunabaadhi ya nchi ni easy kuingia hivyo unaangalia wapi niende na ipi
Sema kuna watu nawajua wana passport hadi za DRC na wanapeta tu. Itabidi kuwauliza kwa makini.
 
Ni maneno matatu tuu yakushika 1 ulishani
2 nakutemwa
3 ulifwibwino wakamba[emoji23][emoji23][emoji23]
Vingine ili ujue unachofanya ni kujua rate ya kwacha baaas
[emoji23][emoji23][emoji23] B
tatu izo muhimu za kuwa nazo sio?
 
Ukiwa na viela hakuna Cha kuulizana wanapika data tuu bas na ukitaka reg nenda vijijini mnunulie pombe chief mwanakaya halafu eleza shida zako utapewa jina utapewa baba utapewa mama then unarud mpya[emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanamuzi [emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] B
tatu izo muhimu za kuwa nazo sio?
Zinatosha saana hapo ni Salam na Neno nakupenda bas hapo Salam itakupa marafiki na nakupenda itakupa [emoji139][emoji139][emoji139][emoji139]
 
Sema mpulungu nimekupenda sababu kwanza kunamuingiliano wa nnch nyingi kama nne hivi yaan Kuna warudi watz wacongo na wenyej wazed hapo mishe zake ni kama kazungula tuu napo pamekusanya wazimbabwe,wazambia,wanamibia na WA Botswana na haya maeneo haya hata migration hawatingi saana ila majasusi na interpol (NCB) ndio wengi haswa majasusi waliofield ya personality studies ndio wengi saana humo unaeza Kuta wameoana wote usalama halaf hawajuani aaan
 
Sema mpulungu nimekupenda sababu kwanza kunamuingiliano wa nnch nyingi kama nne hivi yaan Kuna warudi watz wacongo na wenyej wazed hapo mishe zake ni kama kazungula tuu napo pamekusanya wazimbabwe,wazambia,wanamibia na WA Botswana na haya maeneo haya hata migration hawatingi saana ila majasusi na interpol (NCB) ndio wengi haswa majasusi waliofield ya personality studies ndio wengi saana humo unaeza Kuta wameoana wote usalama halaf hawajuani aaan
Mpulungu ni kama uko bongo.. hali ya hewa yake pia kama Dar tu. Pamechangamka.
 
Dah kila siku najifunza jambo jipya katika huu uzi.. asante sana wazee wa Bemba....Huyo aliyesema una zama kijijin unarudi na jina jipya .na una mpata baba na mama kwa kumywesha pombe mwenyekiti wakijiji nimecheka sana.. I hope hapa Tz kuna kaugumu vha kupata uraia .hahahahaah
 
Dah kila siku najifunza jambo jipya katika huu uzi.. asante sana wazee wa Bemba....Huyo aliyesema una zama kijijin unarudi na jina jipya .na una mpata baba na mama kwa kumywesha pombe mwenyekiti wakijiji nimecheka sana.. I hope hapa Tz kuna kaugumu vha kupata uraia .hahahahaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtanzania kupata NIDA tuu ni kipengele je mgeni
 
Sema mpulungu nimekupenda sababu kwanza kunamuingiliano wa nnch nyingi kama nne hivi yaan Kuna warudi watz wacongo na wenyej wazed hapo mishe zake ni kama kazungula tuu napo pamekusanya wazimbabwe,wazambia,wanamibia na WA Botswana na haya maeneo haya hata migration hawatingi saana ila majasusi na interpol (NCB) ndio wengi haswa majasusi waliofield ya personality studies ndio wengi saana humo unaeza Kuta wameoana wote usalama halaf hawajuani aaan
Ina maana Mpulungu kuna majasusi au Kazungula?
 
Back
Top Bottom