Mbinu za kuingia nchi ya jirani kutafuta Fursa

Mbinu za kuingia nchi ya jirani kutafuta Fursa

Ina maana Mpulungu kuna majasusi au Kazungula?
Maeneo hayo yote hata mipakani saana wanajaa saana hao watu ila kwa maeneo Yale yenye kukutanisha nchi nyingi wanakuwepo wengi saana sababu n maeneo yanakutanisha nchi nyingi
 
Maeneo hayo yote hata mipakani saana wanajaa saana hao watu ila kwa maeneo Yale yenye kukutanisha nchi nyingi wanakuwepo wengi saana sababu n maeneo yanakutanisha nchi nyingi
Ndo maana inashauriwa ukifika kwa watu jifanye boya. Huu ujanja ujanja wa Dar ni kuachana nao. Kujifanya mjanja kuliko wenyeji lazima ikuletee shida. Ukiingia kule wakiuliza unatokea TZ sehemu gani unajibu Sumbawanga, Tunduma au Mbeya maana hizo wanazijua sana.
 
Ndo maana inashauriwa ukifika kwa watu jifanye boya. Huu ujanja ujanja wa Dar ni kuachana nao. Kujifanya mjanja kuliko wenyeji lazima ikuletee shida. Ukiingia kule wakiuliza unatokea TZ sehemu gani unajibu Sumbawanga, Tunduma au Mbeya maana hizo wanazijua sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuleta utoto wamjini utaumia ahsey
 
Hello JF guys!

Ni hivi:

Tuna zungukwa na Uganda, Rwanda, Malawi, Zambia na Msumbiji, Kenya na Congo

Kama mzoefu wa fursa za kiuchumi na upo hapa JF au ulisha wahi kuingia kwenye moja ya Nchi moja wapo katika hizo hapo juu tupeane mbinu zakuingia na urari wa maisha katika hiyo inchi.

Twambie Chumba cha kupangisha mtaani kinachezea bei gani?

Je! Njia za panya zipo mkoa gani uzoefu wako wa mipaka unauzungumziaje?

Biashara gani yenye maslahi ya mtu akizamia anaye anza maisha kwa kamtaji cha kubangaizia?

Maeneo gani katika nchi husika yenye uchangamfu na fursa ni zipi?

Una ushauri gani kwa mtu anayetaka kuzamia hiyo inchi kulingana na uzoefu wako kwa wenyeji?

Asanteni. Nilitamani kuzamia Malawi kujaribu maisha au Zambia ili nikifanikiwa kuingia na kufanya biashara nika dunduliza ni zamie South Africa kabisa.

Elimu yangu Degree, umri 33. Mwanaume
Nenda Moza

Huku kunalipa Sana
Hadi Jana 10/04/2023
1tsh =36.655 Mt
Mfano. Junia la viazi njombe ni TSH 40,000-50000 msumbiji hasa maeneo ya mweda,nampula ni TSH.300,000.
Tambi bongo ni 39,000- 35000 msumbiji tambi zao ni 14000tsh - 17000tsh
Ndoo ya mafuta ya kula lt 10 ya msumbiji tsh. 30 hapa bongo ni 40000-43000
Juice za Azam zinazofungwa 24 mfano eneji hapa bongo ni 10500-12500 TSH Moza juice hizo zinauzwa tsh19000 tena kwa jumla. Rejaraja ni TSH 24000
Sukari moza ni 1000-1300 TSH kwa kg huku bongo ni 2500-2800kwa kg.
Tofauti ni kubwa mno.

Changamoto.
1.Kupata passport
2. Vibari vya biashara nchi za SADDEC ni ngumu Sana
3. Kuzurumiwa ni njenje yani kule ubabe ni mwingi
4.Kuna wakati Askari wa msumbiji wanataka Sana hongo. Unaweza kuwa na vibari vyote lakini wanakuwekea ngumu Hadi uwape chochote
 
Nenda Moza

Huku kunalipa Sana
Hadi Jana 10/04/2023
1tsh =36.655 Mt
Mfano. Junia la viazi njombe ni TSH 40,000-50000 msumbiji hasa maeneo ya mweda,nampula ni TSH.300,000.
Tambi bongo ni 39,000- 35000 msumbiji tambi zao ni 14000tsh - 17000tsh
Ndoo ya mafuta ya kula lt 10 ya msumbiji tsh. 30 hapa bongo ni 40000-43000
Juice za Azam zinazofungwa 24 mfano eneji hapa bongo ni 10500-12500 TSH Moza juice hizo zinauzwa tsh19000 tena kwa jumla. Rejaraja ni TSH 24000
Sukari moza ni 1000-1300 TSH kwa kg huku bongo ni 2500-2800kwa kg.
Tofauti ni kubwa mno.

Changamoto.
1.Kupata passport
2. Vibari vya biashara nchi za SADDEC ni ngumu Sana
3. Kuzurumiwa ni njenje yani kule ubabe ni mwingi
4.Kuna wakati Askari wa msumbiji wanataka Sana hongo. Unaweza kuwa na vibari vyote lakini wanakuwekea ngumu Hadi uwape chochote
Junia = Gunia
 
Nenda Moza

Huku kunalipa Sana
Hadi Jana 10/04/2023
1tsh =36.655 Mt
Mfano. Junia la viazi njombe ni TSH 40,000-50000 msumbiji hasa maeneo ya mweda,nampula ni TSH.300,000.
Tambi bongo ni 39,000- 35000 msumbiji tambi zao ni 14000tsh - 17000tsh
Ndoo ya mafuta ya kula lt 10 ya msumbiji tsh. 30 hapa bongo ni 40000-43000
Juice za Azam zinazofungwa 24 mfano eneji hapa bongo ni 10500-12500 TSH Moza juice hizo zinauzwa tsh19000 tena kwa jumla. Rejaraja ni TSH 24000
Sukari moza ni 1000-1300 TSH kwa kg huku bongo ni 2500-2800kwa kg.
Tofauti ni kubwa mno.

Changamoto.
1.Kupata passport
2. Vibari vya biashara nchi za SADDEC ni ngumu Sana
3. Kuzurumiwa ni njenje yani kule ubabe ni mwingi
4.Kuna wakati Askari wa msumbiji wanataka Sana hongo. Unaweza kuwa na vibari vyote lakini wanakuwekea ngumu Hadi uwape chochote
Moza hela unapata ila askari wake ni wapuuzi mno. Hata wananchi wa kule wivu mwingi...
 
So hakuna aliyopo uko kwenye nchi tajwa ata anipe majibu ya alivyo ingia na maisha yakoje uko na ana dhani mtu akiingia afanye issue gani yenye mzunguko wa uhakika wakipato?
Kama una akiba kiasi atleast kuanzia 10M ingia kongo kanunue carbon(makapi) leta bongo kwenye elution unaweza kupata mzunguko kidogo na uzoefu
 
Kama una akiba kiasi atleast kuanzia 10M ingia kongo kanunue carbon(makapi) leta bongo kwenye elution unaweza kupata mzunguko kidogo na uzoefu
Naomba uielezee hii kidogo.. hiyo issue ni product yanini na ina nunuliwa na watu au viwanda gani hapa tz na kule kongo wana uza sehemu gani?
 
Huna hata hela ya passport unawaza kupata utajiri Burundi ?? Ingekuwa tunabDilishana uraia kwa hela wangekupa hela ya maana wawe watz
 
Huna hata hela ya passport unawaza kupata utajiri Burundi ?? Ingekuwa tunabDilishana uraia kwa hela wangekupa hela ya maana wawe watz
Nadhani una mihemko.. tuliza marinda.


Sijaona mchango wa mawazo naona vijembe tu.. PITA KULEEEE!!!!
 
Nadhani una mihemko.. tuliza marinda.


Sijaona mchango wa mawazo naona vijembe tu.. PITA KULEEEE!!!!
Ww ni wakupeleka saudi nchi imejaa mapoli unawaza kwenda kutiwa..wazo ni kalime hapa hapa bongo
 
Back
Top Bottom