Yaaaan sisi bongo mifumo migumu kufanya biashara lakini kwa walekule sisi ni raisi kwenda kwenda na kufanya biashara na biashara ya kule ili ikulipe ni lazima bidhaa zitoke Tanzania na kuuzwa kule hapo ndio utaona Hela pia serikali ya Zambia ni kama imewalemaza saaana wananch wake na kupelekea wao kutoweza kufanya KAZI ngumu saana ni WA Zambia wachache saaana wenye uwezo wa kufanya kazi ngumu sababu wao kwanza wanakunywa saana pombe kali yaan kuanzia asubuh ad jioni watu ni pombe tuu urahis wa sisi kwetu serikali yetu haijatupa urahis wa kupata pesa hivyo imekuwa ni asiefanya kazi na asile ndio maana kule Zambia wanaardhi yenye rutuba saana lakini watu wakulima hawapo na wanaolima saana kule ni WA bongo na ardh ya kule inakubali karibu Kila aina lakini kilimo Chao ni saana maindi na maarage ya soya yaan ni wazembe saana hivyo ukienda wewe mbongo inakuwa rahis kutoboa
Na kuusu biashara mfano me kunabidhaa nilikuwa nachukua AliExpress kwa 1000 naend kuziuza 11000 had 12000 na haukai na mzgo
Sasa kuhusu currency Yao kwenye soko la afrika ni ya 8 kwa ubora
View attachment 2581146