Miguel Alvarez
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 2,856
- 5,430
Yule Braza men Mule ndani kauwa sanaChanzo cha kutuita mbwamwitu...
Kwanza ni wakali kama mbwa, tupo wengi kama panya...
Na hatukabi mtu uchochoroni tunakaba barabarani na hakuna wa kuweza kutufanya....
Muelekeze huyu jamaa, Sisi hata mjeda akijaa, Tunaimba nae.Sisi ni wakiwalani .
Usiombe ukutane na wa temeke
Mbwa mbwitu - Lunya.Yule Braza men Mule ndani kauwa sana
Hivi inaitwaje Hii ngoma mkuu
Hii ndiyo code, ukinipa jero mi ninakua mlinzi wako, ukininyima nakuimbisha!Utaheshimiwa na wahuni unapowatoa hizo jerojero za fegi ganja gongo
Ukijifanya Mangi sina kwa sana umeisha
Ahahaha alafu unapigwa kwanni unatembea bila pesa....😀😀😀😀Mimi nikikuomba jero usipo nipa nakuvua viatu.
Mbwamwitu....Yule Braza men Mule ndani kauwa sana
Hivi inaitwaje Hii ngoma mkuu
Sasa mi nile wapi, nakukata masikio 😂!Ahahaha alafu unapigwa kwanni unatembea bila pesa....😀😀😀😀
Jamaa mshamba ila anataka aonekane mjanja, hajui kabisa code za kihuni hasa za DSM.Kuna vitu vingi huvifahamu mkuu
Yawn mi nyumbani waniite mbwa koko niliye kosa jina...Sasa mi nile wapi, nakukata masikio 😂!
Umeniwahi mkuu. Huyu jamaa atakuwa kakulia mikoa flani hivi ya kistaarabu hajui lolote kuhusu binadamu waliopinda.Huna lolote unalojua
Ananyanyua chuma wapi huyo, Kwanza nikikutana na huyu jamaa amevaa begi, napiga simu kwa Rasi Ngoda atafute mteja kabisa 😂!Ila iwe Taratibu,Siyo siku ya Kwanza kupiga chuma,anaanza kukata Mikwala,haloo🤣
Usiwe mweupe tu, na kama mweupe basi vuta bange angalau macho yawe mekundu. Ukifanya hayo yote uko mweupe wanakuona mrembo tuWanasemaga kambi popote
Kuna watu hawawezi kuishi hata siku mbili tu maeneo yaliyopinda, wanaogopa wahuni na vibaka, sijui panya road
Nishawahi kuishi Dar nikiwa na familia yangu huko Mbagala na lilikuwa kipindi cha panya road, hakuna muhuni alisumbua
Hapa nitawapa mbinu kadhaa
1. Unapoombwa hela na wahuni usiwape.
Wahuni Huwa wanapenda kutikisa watu Kwa kuwapima msimamo wao.
Anaweza akakwambia
Oyaa Uncle nigei jero ya fegi
Mjibu huna au hutaki yaani isionekane ni haki kupewa kazi Bure
2. Shirikisho mambo ya kijamii ya wahuni.
Wapewe michango kama ya mechi za ndondo, shughuli zao n.k
3. Kuwa mbabe kiasi
Itokee hata mhuni akizingua unampasua
4. Rudi usiku bila hofu
Ili wahuni au vibaka wasikuumize, we uwe na utamaduni wa kuingia na kupotea chimbo zao bila woga
5. Wajue wahuni baadhi
Ili wahuni wasikuumize we wajue wenzao kadhaa kwenye mtaa hata wakujue Kwa jina labda braza Salum
6. Usikae home Kinyonge au kike kike
Labda weekend upo unafua na kukaangiza, hapo wahuni watakulia timing na watakuchukulia vyako
7. Fanya mazoezi nao
Kama ni kupiga chuma, muulize muhuni chimbo zao za kupiga chuma ni wapi, nenda pale kiwashe hadi wakutambue kuwa huyu si mnyoge
8. Juana na wazazi au ndugu zao
9 . Wakosoe wanapokosea na watishie kuwa unaweza kuwaadhibu, hapa watakuheshimu
Wagongee mademu zao ili wakuone rijaliWanasemaga kambi popote
Kuna watu hawawezi kuishi hata siku mbili tu maeneo yaliyopinda, wanaogopa wahuni na vibaka, sijui panya road
Nishawahi kuishi Dar nikiwa na familia yangu huko Mbagala na lilikuwa kipindi cha panya road, hakuna muhuni alisumbua
Hapa nitawapa mbinu kadhaa
1. Unapoombwa hela na wahuni usiwape.
Wahuni Huwa wanapenda kutikisa watu Kwa kuwapima msimamo wao.
Anaweza akakwambia
Oyaa Uncle nigei jero ya fegi
Mjibu huna au hutaki yaani isionekane ni haki kupewa kazi Bure
2. Shirikisho mambo ya kijamii ya wahuni.
Wapewe michango kama ya mechi za ndondo, shughuli zao n.k
3. Kuwa mbabe kiasi
Itokee hata mhuni akizingua unampasua
4. Rudi usiku bila hofu
Ili wahuni au vibaka wasikuumize, we uwe na utamaduni wa kuingia na kupotea chimbo zao bila woga
5. Wajue wahuni baadhi
Ili wahuni wasikuumize we wajue wenzao kadhaa kwenye mtaa hata wakujue Kwa jina labda braza Salum
6. Usikae home Kinyonge au kike kike
Labda weekend upo unafua na kukaangiza, hapo wahuni watakulia timing na watakuchukulia vyako
7. Fanya mazoezi nao
Kama ni kupiga chuma, muulize muhuni chimbo zao za kupiga chuma ni wapi, nenda pale kiwashe hadi wakutambue kuwa huyu si mnyoge
8. Juana na wazazi au ndugu zao
9 . Wakosoe wanapokosea na watishie kuwa unaweza kuwaadhibu, hapa watakuheshimu
Kuna Uzi humu wa muda kidogo wanaelezea vimbwanga vya mambo ya uswahilini na vulugu a wahuni miaka hyoMuelekeze huyu jamaa, Sisi hata mjeda akijaa, Tunaimba nae.
Mabangi yenyewe wanavuta makushabu tena wanavutia chooni et?Bongo kuna wahuni ama kuna watu waliopigwa na maisha!.
muhuni unatakiwa uwe na pesa, sasa muhuni unagongea fegi mara jero mixer kukaba watu wasio na pesa! muhuni hata pisto huna!.
muhuni unakunywa ma taputapu!