Mbinu za kuishi mitaa ya kihuni, uswahilini

Mbinu za kuishi mitaa ya kihuni, uswahilini

Kuna Uzi humu wa muda kidogo wanaelezea vimbwanga vya mambo ya uswahilini na vulugu a wahuni miaka hyo



Kuna mwana anakuambia alimkaba mjeda mitaa ya Magomeni baada ya siku kadhaa mjeda alirudi na wanae kibao kumtafuta mchizi,

Kesho yake yule mjeda akakutana na mwana alimkaba baada ya kurumbana jamaa akaomba kama vipi wazipige na mjeda mtumbili

Daah mjeda kuona hivyo akayeyusha akasepa hakurudi tena 😁 wahuni wa zamani noma
Noma mkuu, Hawa wahuni wa siku hizi jau sana, maneno mengi.

Mi hua sifanyi harakati na waoga mkuu!
 
Dawa ni chuma tu unatembea nacho wanakiona. Ndo yalikuwa maisha yetu Keko Magulumbasi enzi za mwishoni mwa 1999. Kila ukipita shikamooo nyingi. Sahizi tunazeeka na utemi wetu
Keko ukipita na chuma bro ? Anhaa Kama namuona Sudi tumiguu anavyokukodolea macho yake 😀😀

Anyway old is Gold nina historia kubwa na Magurumbasi siku nitawasimulia aisee .

Msalimie Muddy Sume na Hassan Matumla wambie Shikizo Sasa si wakishua tena anakula mchanga ,dunia ishapinduka
 
Keko ukipita na chuma bro ? Anhaa Kama namuona Sudi tumiguu anavyokukodolea macho yake 😀😀

Anyway old is Gold nina historia kubwa na Magurumbasi siku nitawasimulia aisee .

Msalimie Muddy Sume na Hassan Matumla wambie Shikizo Sasa si wakishua tena anakula mchanga ,dunia ishapinduka
Kina Matumla wamehama wapo Mbagala. Keko hakuna ambaye hamjui Muddy. Sisi home kulikuwa jirani na Mzee Khasim aliyeimbwa na Muhidin Gurumo
 
Mabangi yenyewe wanavuta makushabu tena wanavutia chooni et?
wale sio wahuni wale ni watu waliopagawa!.
uhuni ni gharama unatakiwa uwe na pesa sio ya mawazo, sasa hiyo ndo unafanyia starehe unanunua gari unatupita barabarani spidi kali halafu unafanya drift!!, hapo kiunoni bonge la pisto na mibangi kwenye gari ila bangi original sio hizi zakuchizisha watu!.
muhuni huna hata ghetto kali..🤣
 
wale sio wahuni wale ni watu waliopagawa!.
uhuni ni gharama unatakiwa uwe na pesa sio ya mawazo, sasa hiyo ndo unafanyia starehe unanunua gari unatupita barabarani spidi kali halafu unafanya drift!!, hapo kiunoni bonge la pisto na mibangi kwenye gari ila bangi original sio hizi zakuchizisha watu!.
muhuni huna hata ghetto kali..🤣
Hawa ndio wahuni hawa wengine ni vibaka tu.

1734700439889.jpg
1734700557942.jpg
 
Wanasemaga kambi popote
Kuna watu hawawezi kuishi hata siku mbili tu maeneo yaliyopinda, wanaogopa wahuni na vibaka, sijui panya road

Nishawahi kuishi Dar nikiwa na familia yangu huko Mbagala na lilikuwa kipindi cha panya road, hakuna muhuni alisumbua

Hapa nitawapa mbinu kadhaa

1. Unapoombwa hela na wahuni usiwape.
Wahuni Huwa wanapenda kutikisa watu Kwa kuwapima msimamo wao.
Anaweza akakwambia
Oyaa Uncle nigei jero ya fegi
Mjibu huna au hutaki yaani isionekane ni haki kupewa kazi Bure

2. Shiriki mambo ya kijamii ya wahuni.
Wapewe michango kama ya mechi za ndondo, shughuli zao n.k

3. Kuwa mbabe kiasi
Itokee hata mhuni akizingua unampasua

4. Rudi usiku bila hofu
Ili wahuni au vibaka wasikuumize, we uwe na utamaduni wa kuingia na kutokea chimbo zao bila woga

5. Wajue wahuni baadhi
Ili wahuni wasikuumize we wajue wenzao kadhaa kwenye mtaa hata wakujue Kwa jina labda braza Salum

6. Usikae home Kinyonge au kike kike
Labda weekend upo unafua na kukaangiza, hapo wahuni watakulia timing na watakuchukulia vyako

7. Fanya mazoezi nao
Kama ni kupiga chuma, muulize muhuni chimbo zao za kupiga chuma ni wapi, nenda pale kiwashe hadi wakutambue kuwa huyu si mnyoge

8. Juana na wazazi au ndugu zao

9 . Wakosoe wanapokosea na watishie kuwa unaweza kuwaadhibu, hapa watakuheshimu
Jamaa bado Sana,kwenda kufanya nao zoezi,kujua wazazi wao,kurudi usiku , hahahhaahahah,unawafahamu wahuni kweli,watu wamevurugwa halafu ujipeleke kwenye kambi yao,acha hizo
 
Back
Top Bottom