min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Mkuu kwamba na wewe ni mhuni et?Hii ndiyo code, ukinipa jero mi ninakua mlinzi wako, ukininyima nakuimbisha!
Unyama unyamwela 💀💀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwamba na wewe ni mhuni et?Hii ndiyo code, ukinipa jero mi ninakua mlinzi wako, ukininyima nakuimbisha!
Unyama unyamwela 💀💀
Noma mkuu, Hawa wahuni wa siku hizi jau sana, maneno mengi.Kuna Uzi humu wa muda kidogo wanaelezea vimbwanga vya mambo ya uswahilini na vulugu a wahuni miaka hyo
Kuna mwana anakuambia alimkaba mjeda mitaa ya Magomeni baada ya siku kadhaa mjeda alirudi na wanae kibao kumtafuta mchizi,
Kesho yake yule mjeda akakutana na mwana alimkaba baada ya kurumbana jamaa akaomba kama vipi wazipige na mjeda mtumbili
Daah mjeda kuona hivyo akayeyusha akasepa hakurudi tena 😁 wahuni wa zamani noma
Zina mantiki na zinafanya kazi fresh ila ninyi mnajikuta uswenge mnaujua sana...Umeniwahi mkuu. Huyu jamaa atakuwa kakulia mikoa flani hivi ya kistaarabu hajui lolote kuhusu binadamu waliopinda.
Keko ukipita na chuma bro ? Anhaa Kama namuona Sudi tumiguu anavyokukodolea macho yake 😀😀Dawa ni chuma tu unatembea nacho wanakiona. Ndo yalikuwa maisha yetu Keko Magulumbasi enzi za mwishoni mwa 1999. Kila ukipita shikamooo nyingi. Sahizi tunazeeka na utemi wetu
Mkuu kwa mimi mitaa niliyokulia hakuna hata moja inaweza kufanya kazi hata kwa mimi tu ambaye sijawahi kuwa katika kundi lolote la kihuni.Zina mantiki na zinafanya kazi fresh ila ninyi mnajikuta uswenge mnaujua sana...
Mwanangu mi nishazamia kwa mkaburu, kwenye treni kusukuma cocaine.Huwezi mkuu
🤣😅Nina historia ngumu
Me hunichukulii mali yangu hata muwe 100
Mimi ni mhuni wa kijanja.Mkuu kwamba na wewe ni mhuni et?
Kina Matumla wamehama wapo Mbagala. Keko hakuna ambaye hamjui Muddy. Sisi home kulikuwa jirani na Mzee Khasim aliyeimbwa na Muhidin GurumoKeko ukipita na chuma bro ? Anhaa Kama namuona Sudi tumiguu anavyokukodolea macho yake 😀😀
Anyway old is Gold nina historia kubwa na Magurumbasi siku nitawasimulia aisee .
Msalimie Muddy Sume na Hassan Matumla wambie Shikizo Sasa si wakishua tena anakula mchanga ,dunia ishapinduka
Enzi za mjasusiSisi ni wakiwalani .
Usiombe ukutane na wa temeke
Mkishavuta makushabu mnajionaga madude makubwa 🤣🤣Mimi ni mhuni wa kijanja.
Nimeishia ila4 ila niko JF.
wale sio wahuni wale ni watu waliopagawa!.Mabangi yenyewe wanavuta makushabu tena wanavutia chooni et?
Sisi haooooEnzi za mjasusi
Huyu angepata hata mitikas miwili ya huyo mwamba mpaka kifo chake angefuta huu upuuzi wake.Sisi haoooo
Hawa ndio wahuni hawa wengine ni vibaka tu.wale sio wahuni wale ni watu waliopagawa!.
uhuni ni gharama unatakiwa uwe na pesa sio ya mawazo, sasa hiyo ndo unafanyia starehe unanunua gari unatupita barabarani spidi kali halafu unafanya drift!!, hapo kiunoni bonge la pisto na mibangi kwenye gari ila bangi original sio hizi zakuchizisha watu!.
muhuni huna hata ghetto kali..🤣
Jamaa bado Sana,kwenda kufanya nao zoezi,kujua wazazi wao,kurudi usiku , hahahhaahahah,unawafahamu wahuni kweli,watu wamevurugwa halafu ujipeleke kwenye kambi yao,acha hizoWanasemaga kambi popote
Kuna watu hawawezi kuishi hata siku mbili tu maeneo yaliyopinda, wanaogopa wahuni na vibaka, sijui panya road
Nishawahi kuishi Dar nikiwa na familia yangu huko Mbagala na lilikuwa kipindi cha panya road, hakuna muhuni alisumbua
Hapa nitawapa mbinu kadhaa
1. Unapoombwa hela na wahuni usiwape.
Wahuni Huwa wanapenda kutikisa watu Kwa kuwapima msimamo wao.
Anaweza akakwambia
Oyaa Uncle nigei jero ya fegi
Mjibu huna au hutaki yaani isionekane ni haki kupewa kazi Bure
2. Shiriki mambo ya kijamii ya wahuni.
Wapewe michango kama ya mechi za ndondo, shughuli zao n.k
3. Kuwa mbabe kiasi
Itokee hata mhuni akizingua unampasua
4. Rudi usiku bila hofu
Ili wahuni au vibaka wasikuumize, we uwe na utamaduni wa kuingia na kutokea chimbo zao bila woga
5. Wajue wahuni baadhi
Ili wahuni wasikuumize we wajue wenzao kadhaa kwenye mtaa hata wakujue Kwa jina labda braza Salum
6. Usikae home Kinyonge au kike kike
Labda weekend upo unafua na kukaangiza, hapo wahuni watakulia timing na watakuchukulia vyako
7. Fanya mazoezi nao
Kama ni kupiga chuma, muulize muhuni chimbo zao za kupiga chuma ni wapi, nenda pale kiwashe hadi wakutambue kuwa huyu si mnyoge
8. Juana na wazazi au ndugu zao
9 . Wakosoe wanapokosea na watishie kuwa unaweza kuwaadhibu, hapa watakuheshimu